Vigogo wa Escrow wapumulia mashine
Kama unahitaji kutangaza biashara yako kupitia tovuti hii, wasiliana na idara ya masoko au fika ofisini kwetu mtaa wa Lumumba, mkabala na Shule ya Msingi Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
*** *** *** *** *** *** *** *** ***
.... Wapumulia mashine
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
LICHA ya kuanza kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma na mamlaka zingine za uchunguzi, hali bado ngumu kwa watendaji wa umma waliohusika kwenye kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow. Tangu kuibuliwa kwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWerema,Maswi,Mboma wapumulia mashine
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Baadhi ya wabunge mkoa wa Singida wapumulia mashine kwenye nafasi zao majimboni
Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Mh. John Chiligati pamoja na Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mh. Mohammed Dewji wakipungia mikono wakazi wa Singida wakati wa mikutano ya chama cha Mapinduzi mkoani humo.
JIMBO LA MKALAMA.
Hili kwa sasa linafananishwa na ‘mzoga’ kwa madai hadi sasa kuna dalili ya watu 12 wanaonyesha dalili la kuliwania jimbo hilo ambalo zamani lilikuwa likijulikana kwa jina la Iramba mashariki.
Mbunge wa sasa Salome Mwambu wa CCM ambaye anamaliza kipindi chake cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pL8y-U7siaUFwerSgh*CV0bkTjUQ7icPu9EBJcalq*LSQkezF--fa5t0pcWNXgCgJr5PjehC6NMJSQmJBdG*vDf/escrow.gif)
MALI ZA VIGOGO ESCROW USIPIME
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Vigogo kizimbani mgawo Escrow
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana, ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Vigogo ‘watosana’ ufisadi Escrow
KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imewaweka njia panda vigogo wa Serikali...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ
10 years ago
Mtanzania16 Jan
Hali tete kwa vigogo Escrow
Aziza Msoud na Shabani Matutu, Dar es Salaam
HALI inazidi kuwa tete kwa vigogo kadhaa wa Serikali juu ya sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, baada ya kuwapo taarifa kuwa wengi watafikishwa mahakamani.
Iwapo leo vigogo ambao majina yao yamekuwa yakitajwa tangu juzi watafikishwa mahakamani, wataongeza idadi baada ya juzi watumishi wawili wa Serikali kufikishwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Jana asubuhi baadhi ya maofisa wa Taasisi...
10 years ago
Mtanzania17 Jan
Escrow yauma vigogo BoT, TRA
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Fedha wa Benki Kuu, Julius Angello, Meneja wa Misamaha ya Kodi wa TRA, Kyabukoba Mutabingwa na Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa ya zaidi ya Sh bilioni mbili kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Washtakiwa hao walipandishwa jana kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya mahakimu wawili tofauti na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na...
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Sakata la Escrow vigogo watatu wafikishwa Kisutu