MAONI: Takukuru haiwezi kuchunguza viongozi waliosafishwa
>Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, mjadala mkubwa katika jamii na vikao vya Bunge la Bajeti ulikuwa utata wa kauli zilizotolewa na Serikali pamoja na vyombo vinavyoshughulikia udhibiti na mapambano dhidi ya rushwa kuhusu watendaji waliosafishwa katika sakata la uchotwaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Jan
Takukuru, AG kuchunguza mauzo ya hisa za UDA
OFISI ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imepeleka suala la mchakato wa uuzaji wa hisa za Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ili kuangalia mchakato mzima na mkanganyiko katika uuzwaji wa hisa hizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nP_8qHCaBlI/XqwVqj1gW1I/AAAAAAAAQtU/Pfl4ThRmBr4zqlMCVSf3_HW9LwbKhTvfQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200427_102050_172.jpg)
TAKUKURU KUCHUNGUZA MKANDARASI KWANINI ALIBADILI UZANIFU WA MABWAWA YA MAJI TAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nP_8qHCaBlI/XqwVqj1gW1I/AAAAAAAAQtU/Pfl4ThRmBr4zqlMCVSf3_HW9LwbKhTvfQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200427_102050_172.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Mjini Gabriel Daqqaro akisonyeshwa ramani ya alipotembelea ujenzi wa Tenki la maji Murriet wa kwanza ni Mkndarasi wa mradi huo,Mtaalam na Mashauri wa mradi,wa kwanza kulia ni Katibu tawala wa wilaya,Mkurugenzi Mtendaji AUWSA Mhandisi Justine Rujomba
![](https://1.bp.blogspot.com/-keNgvoOC6tQ/XqwWRKVeI4I/AAAAAAAAQtc/uegxXcinre8lO6Cje3QX1tTv72xJsw0KQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200427_112515_871%2B%25281%2529.jpg)
Daraja la kuvushia bomba River Crossing urefu wa mita 162 ambacho kipo Themi Njiro
![](https://1.bp.blogspot.com/-LQBcKglboz0/XqwGcBT3IWI/AAAAAAAAQtE/Cb8t09Ui7mM3pievZWQyDRlmCNSWvZXfACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200427_102135_396.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqqaro akiteta jambo na Mhandisi mshauri wa mradi kulia kwake ni Kimu Mkurugenzi mtendaji AUWSA...
5 years ago
MichuziWAZIRI MPINA ASHTUKIA UPIGAJI WA BILIONI 2.6 UJENZI MAABARA YA UVUVI, AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA NDANI YA SIKU 7
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo ya namna ya shughuli yaujenziwa mradi wa jengo la Maabara ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania(TAFIRI) Kituo cha Dar es Salaam kutoka kwa Mkandarasi wa Kampuni yaPetra Constuction co. Limited, NicholausMlayi alipotembelea mradi huo Kunduchi Dar es Salaam.
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata ufafanuzi kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Kampuni ya Y&P Architect inayosimamia Mradi wa Ujenzi wa Maabara ya
Taasisi ya Utafiti wa...
10 years ago
VijimamboMATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga alisema kuwa ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s72-c/Peter_Msolla.jpg)
NEWS ALERT: MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s400/Peter_Msolla.jpg)
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga ...
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Jopo laundwa kuchunguza viongozi Kenya
10 years ago
GPLVIONGOZI WA TAKUKURU WAKUTANA KILIMANJARO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWATAKA VIONGOZI TFF KUREJESHA FEDHA WALIZOZICHUKUA.
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...