Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jopo laundwa kuchunguza viongozi Kenya

Jopo maalum limeundwa ilikuwachunguza maafisa wakuu serikalini na wanasiasa ambao wametuhumiwa kuhusika na ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi Dar yaunda jopo kuchunguza kifo cha bosi Ewura

Aliyekuwa Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza alijinyonga kwa tai. Taarifa iliyotolewa jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert Kiondo imesema.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Takukuru haiwezi kuchunguza viongozi waliosafishwa

>Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, mjadala mkubwa katika jamii na vikao vya Bunge la Bajeti ulikuwa utata wa kauli zilizotolewa na Serikali pamoja na vyombo vinavyoshughulikia udhibiti na mapambano dhidi ya rushwa kuhusu watendaji waliosafishwa katika sakata la uchotwaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya ambaye alikuwa ni msemaji mkuu katika Mkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile (4th Nile Basin Development Forum) unaofanyika jijini Nairibi,Kenya akiwasilisha mada katika mkutano huo.Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akifatilia mada mbali mbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano nhuo.Mawaziri wa Maji wa Bonde la Mto Nile waliohudhuria Mkutano wa Nne Jopo la Maendeleo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa AU wajadili usalama Kenya

Viongozi wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanakutana mjini Nairobi,nchini Kenya kujadili usalama barani

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab:Viongozi wapokea vitisho Kenya

Viongozi wawili wa dini nchini Kenya wameiambia BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa Alshabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Lawama kwa viongozi wa kiisilamu Kenya

Baraza makanisa nchini Kenya(NCCK) limewalaumu vongozi wa kiislamu na serikali kushindwa kuzuia mashambulizi dhidi ya wakristu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Anglo Leasing:viongozi washtakiwa Kenya

Hatimaye viongozi waliokuwa mamlakani wakati wa kashfa ya kuchapisha pasipoti za wakenya wamefikishwa mahakamani leo

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania,Gladness Mkamba akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC .Picha picha...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI MBALIMBALI WA AFRIKA WAJITOKEZA KUMZIKA MTOTO WA RAILA ODINGA NCHINI KENYA

 Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga (wa pili kutoka kulia) akizungumza jambo na ujumbe kutoka Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli. Ujumbe huo ulikwenda kumpa pole nyumbani kwake Bondo nje kidogo ya mji wa Kisumu nchini Kenya kufuatia kifo cha mtoto wake Fidelis Castro Odhiambo Odinga aliyefariki ghafla mapema mwezi huu.

 Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Magufuli akimfariji mama mzazi wa marehemu Fidelis Castro Odhiambo Odinga

 Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani