Takukuru, AG kuchunguza mauzo ya hisa za UDA
OFISI ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imepeleka suala la mchakato wa uuzaji wa hisa za Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ili kuangalia mchakato mzima na mkanganyiko katika uuzwaji wa hisa hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mauzo ya hisa yayumba Uchina
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Mauzo CRDB yashuka soko la hisa
BENKI ya CRDB imeshuka kwa asilimia moja katika mauzo kwenye soko la Hisa Agosti 7 hadi 12, mwaka huu. Akizungumza na waandishi habari jana Ofisa maendeleo na masoko wa Hisa...
9 years ago
Dewji Blog07 Sep
Idadi ya mauzo ya soko la Hisa la Dar yashuka
Meneja Miradi na Biashara wa DSE, Patrick Mususa.
Na Ally Daud – MAELEZO, Dar Es Salaam
IDADI ya mauzo katika soko la hisa la Dar es salaam (DSE) imeshuka kwa asilimia 78 kutoka Tsh. Bilioni 29.8 hadi Tsh. Bilioni 6.4 kwa kipindi cha wiki moja iliyopita.
Aidha idadi ya hisa zilizouzwa katika soko hilo pia zimeshuka kwa asilimia 60 kutoka Tsh. Milioni11.2 hadi kufikia Tsh. Milioni 4.3 kutokana na makampuni mengi kutowekeza katika soko la hisa.
Akizungumza na waaandishi wa habari leo...
9 years ago
GPL05 Oct
10 years ago
Michuzi18 Jun
TAARIFA KWA UMMA: YETU MICROFINANCE PLC YATANGAZA MAUZO YA HISA
Jumla ya hisa baada ya toleo 36,972,249 ...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Benki ya Walimu yachangia ongezeko la mauzo ya hisa DSE kufikia Sh1 trilioni
10 years ago
MichuziBENKI YA MKOMBOZI YATANGAZA MAUZO YA AWALI YA HISA ZAKE,YAWAOMBA WATANZANIA WAJITOKEZE KUZINUNUA
10 years ago
Mwananchi20 May
MAONI: Takukuru haiwezi kuchunguza viongozi waliosafishwa
11 years ago
Mwananchi16 May
Wabunge waja juu, wahoji uuzwaji wa hisa UDA