BENKI YA MKOMBOZI YATANGAZA MAUZO YA AWALI YA HISA ZAKE,YAWAOMBA WATANZANIA WAJITOKEZE KUZINUNUA
Pichani kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Mkombozi,Bwa Masha J. Mshomba akizungumza mbele ya Wanahabari (hawapo pichani),Mwishoni mwa wiki jijini Dar, kuhusiana na kuwafahamisha Watanzania kuhusu mauzo ya awali ya hisa za benki yao ya Mkombozi,ikiwemo pia na kuwaomba Watanzania washiriki katika ununuzi wa hisa za Benki hiyo ya Mkombozi,shoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Mkombozi Bwan. Edwina Lupembe.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Jun
TAARIFA KWA UMMA: YETU MICROFINANCE PLC YATANGAZA MAUZO YA HISA
Jumla ya hisa baada ya toleo 36,972,249 ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Hisa za Benki ya Mkombozi zapaa sokoni DSE
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mkombozi yaanza kuuza hisa zake kukuza mtaji kufikia Sh18 bilioni
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Benki ya Walimu yachangia ongezeko la mauzo ya hisa DSE kufikia Sh1 trilioni
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATANGAZA MATOKEO YA UUZAJI WA HISA STAHILI
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mauzo ya hisa yayumba Uchina
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
10 years ago
Habarileo31 Jan
Takukuru, AG kuchunguza mauzo ya hisa za UDA
OFISI ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imepeleka suala la mchakato wa uuzaji wa hisa za Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ili kuangalia mchakato mzima na mkanganyiko katika uuzwaji wa hisa hizo.