GLOBAL TV ONLINE: MAUZO KATIKA SOKO LA HISA YAPANDA WIKI HII
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL28 Sep
10 years ago
GPL21 Sep
10 years ago
MichuziSOKO LA HISA WIKI HII JIJINI DAR ES SALAAM
Meneja Mradi na biashara wa soko la hisa hapa nchini, Patrick Msusa akizungumza na na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na kushuka kwa soko la hisa kwa asilimia 85.85 ukilinganisa na wiki iliyopita ambapo ziliuwa hisa 14,685 na kushuka kwa wiki hii hisa 2,1077 zilizouzwa.
11 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Mauzo CRDB yashuka soko la hisa
BENKI ya CRDB imeshuka kwa asilimia moja katika mauzo kwenye soko la Hisa Agosti 7 hadi 12, mwaka huu. Akizungumza na waandishi habari jana Ofisa maendeleo na masoko wa Hisa...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Idadi ya mauzo ya soko la Hisa la Dar yashuka
Meneja Miradi na Biashara wa DSE, Patrick Mususa.
Na Ally Daud – MAELEZO, Dar Es Salaam
IDADI ya mauzo katika soko la hisa la Dar es salaam (DSE) imeshuka kwa asilimia 78 kutoka Tsh. Bilioni 29.8 hadi Tsh. Bilioni 6.4 kwa kipindi cha wiki moja iliyopita.
Aidha idadi ya hisa zilizouzwa katika soko hilo pia zimeshuka kwa asilimia 60 kutoka Tsh. Milioni11.2 hadi kufikia Tsh. Milioni 4.3 kutokana na makampuni mengi kutowekeza katika soko la hisa.
Akizungumza na waaandishi wa habari leo...
11 years ago
Michuzi
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Ulaghai wadaiwa katika soko la hisa Uchina
9 years ago
StarTV10 Nov
Kampuni mpya zaingia kwa kishindo  katika soko la hisa
Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE limeeleza kushuhudia mabadiliko kiasi ya shughuli zake kwa wiki hii, wakati ambapo pia linapita kwenye hatua ya kujirekebisha baada ya kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa baadhi ya kaunta za soko hilo kuonyesha hali ya tofauti kwenye mauzo ya hisa zake.
Baadhi ya kampuni zilizokuwa zikifanya vizuri zaidi, zimeonekana kuzidiwa kimauzo na kampuni nyingine, hususan taasisi za fedha ambazo zimeonyesha kupanda zaidi kimauzo.
Soko hilo limeshuhudia...
9 years ago
Michuzi
Waziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam


