Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge

Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete hatakubali kuidhinisha kama akipelekewa ombi la kuongeza kiinua mgongo cha wabunge kutoka Sh43 milioni hadi Sh160 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CHADEMA Blog

OMBI LA WABUNGE NA MADIWANI WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONI KUIOMBA IKULU (OFISI YA RAIS) IUNDE TUME HURU

LEO MADIWANI NA WABUNGE WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONItumeiomba Ikulu (OFISI YA RAIS) iteue TUME HURU YA UCHUNGUZI "a free and independent inquirery Commission" dhidi ya tuhuma za mkurugenzi aliyesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma zake 3:- (i) Uduni wa ubora wa barabara zilizo jengwa manispaa yabkinondoni na kushindwa kuwaadhibu wahandisi wahusika (ii) Kushindwa kusimamia

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini leo ikulu jijini Dar es Salaam

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Ukawa waikalia kooni Ikulu

>Mjadala wa bajeti mwaka 2015/16 umegeuka mwiba mchungu kwa Ofisi ya Rais baada ya mawaziri watatu waliopo katika ofisi hiyo kubanwa na wabunge wa upinzani hasa wale wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakisema “njaa imeanzia Ikulu na Ofisi ya Rais inayosimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) haina utashi wa kupambana na rushwa.”

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wajiweka pembeni ‘vigogo’ waliosafishwa Ikulu

Siku moja baada ya Ikulu kutangaza kuwasafisha mawaziri watano na Katibu Mkuu, Eliackim Maswi, wabunge wamejiweka pembeni na suala hilo wakisema Bunge lilishatimiza wajibu wake.

 

10 years ago

GPL

RAIS WA CHUO ABAMBWA NA MAMILIONI CHUMBANI

STORI: Waandishi Wetu/Amani KIMENUKA! Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara (CBE), Ramadhan Kirungi amejikuta akiwa korokoroni ya Kituo cha Polisi cha Daraja la Salenda jijini Dar baada ya kudaiwa ‘kufoji’ saini ya benki ya wanachuo na kuchota shilingi milioni 31. Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara (CBE), Ramadhan Kirungi. Kwa mujibu wa chanzo makini, wizi huo unadaiwa kubainika baada...

 

11 years ago

GPL

Rais Kikwete amwaga mamilioni Simba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Na Hans Mloli
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amemkabidhi hundi ya Sh milioni 30 mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage kama mchango wake kwenye harakati za ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo uliopo Bunju, Dar. Rage aliweka bayana mchango wa rais huyo mbele ya waandishi wa habari jana Jumapili mara baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Katiba...

 

9 years ago

Mtanzania

Rais Magufuli aagiza mamilioni ya sherehe ya Bunge yapelekwe Muhimbili

John-MagufuliNa Mwandishi Wetu

RAIS John Magufuli ameagiza zaidi ya Sh milioni 200 zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya uzinduzi wa Bunge la 11 zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kwenda kununulia vitanda vya wagonjwa.

Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bunge la 11 iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Rais Magufuli alisema ni jambo jema kwa wabunge kujinyima ili kuwasaidia wagonjwa walioko Muhimbili.

“Nilipoambiwa zimechangwa Sh milioni 225...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na mjumbe wa Rais wa Burundi Ikulu jijini Dar

ru1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, alipofika na ujumbe wake kuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam April 29, 2014.

ru2

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Sheikh Mohamed Rukara, ujumbe  maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, aliyeuwasilisha  ujumbe huo Ikulu jijini Dar.

ru3

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe. Rais Kikwete ampokea rasmi Rais Gauck-Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea rasmi Rais wa Ujerumani, Mhe. Joachim Gauck katika Viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam. Rais Kikwete akiwa ameongozana na mgeni wake Rais Gauck mara baada ya kumpokea. Rais Kikwete na Rais Gauck wakipata heshima ya nyimbo za mataifa yao ikiwa ni sehemu ya mapokezi ya Rais Gauck. Kikosi cha jeshi kikipiga mizinga 21 kwa heshima ya Rais Gauck Rais Gauck akikagua Gwaride la Heshima Sehemu ya waandishi wa Habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani