RAIS WA CHUO ABAMBWA NA MAMILIONI CHUMBANI
![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2wyRe1DF8m4GyGgC0iDZyTpdwRn6JpfAmBgyXasUewb7mRLtNVNc-clGZogJcS91bSQy-VIDueRUxEEecdAoOm/Kirungi.jpg)
STORI: Waandishi Wetu/Amani KIMENUKA! Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara (CBE), Ramadhan Kirungi amejikuta akiwa korokoroni ya Kituo cha Polisi cha Daraja la Salenda jijini Dar baada ya kudaiwa ‘kufoji’ saini ya benki ya wanachuo na kuchota shilingi milioni 31. Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara (CBE), Ramadhan Kirungi. Kwa mujibu wa chanzo makini, wizi huo unadaiwa kubainika baada...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Feb
Chuo Kikuu cha Aga Khan kuipa Tanzania mamilioni
CHUO Kikuu cha Aga Khan (AKU) kitatumia Dola za Marekani bilioni 1 katika kujenga miundombinu ya elimu Afrika Mashariki kati ya hizo Dola za Marekani milioni 700 zitawekezwa Tanzania.
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3CYv0bKoFXF19wdhW5ZIHIIS7l7*6yPZIrRTPXOpx3JdJUZNK6IiZrI9hma8NU4lYVnrUnzv6aHaSWkOaK*G*-f/kikwete.jpg?width=650)
Rais Kikwete amwaga mamilioni Simba
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Rais Magufuli aagiza mamilioni ya sherehe ya Bunge yapelekwe Muhimbili
Na Mwandishi Wetu
RAIS John Magufuli ameagiza zaidi ya Sh milioni 200 zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya uzinduzi wa Bunge la 11 zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kwenda kununulia vitanda vya wagonjwa.
Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bunge la 11 iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Rais Magufuli alisema ni jambo jema kwa wabunge kujinyima ili kuwasaidia wagonjwa walioko Muhimbili.
“Nilipoambiwa zimechangwa Sh milioni 225...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLoMk-LCO1ms0LMyPSR09XE8RpDHDQ-YjmztLtto43mZBuWPo2DDYf*GutlUS--K5FhxvFRtif8RPQyQKhn*Raf/mwalimu.jpg?width=650)
MWALIMU ABAMBWA AKIJIUZA
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Abambwa na unga JNIA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s72-c/20151102022546.jpg)
MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s640/20151102022546.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmpl-XF0QCi3aOHvpA3CIaUdfMYdKK5glStBQJNVj3CI8vD*5fq-Czr5FWfV*j4Nk3YKPMfJdJukQuptW5HOnybN/DKTR.jpg?width=650)
DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppKWr4SkD9KD0MEcpAAZ9gvIrX9f3ee9iGCpeObIJfLFsylXvHLeRlE-Zin*KV7jpI1*NOtxIW4oMhTlaa2WPaG/mwizi.jpg?width=650)
ABAMBWA AKIIBA KANISANI, AGEUZWA BUCHA!