Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWALIMU ABAMBWA AKIJIUZA

Na Waandishi Wetu
AIBU! Wakati Wakristo bado wapo kwenye Kwaresma, mama aliyejitambulisha kuwa ni mwalimu wa shule ya msingi, amenaswa laivu akijiuza maeneo ya Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mwalimu akiwa ameduwaa baada ya kunaswa kwenye sakata hilo. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 24, mwaka huu ambapo awali, wakazi wa eneo hilo waliwatonya mapaparazi wa Operesheni Fichua Maovu (OFM) kuwa kuna danguro kubwa maeneo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MSANII BONGO MUVI ANASWA AKIJIUZA

Stori: Waandishi Wetu
ILE skendo ya kukithiri kwa baadhi ya mastaa Bongo kujiuza imechukua sura mpya kufuatia msanii wa Bongo Movies, Isabella Francis ‘Vai wa Ukweli’ naye kunasa mtegoni, Ijumaa lina kisa kizima. Vai wa Ukweli akiwa mawindoni. Tukio hilo la aibu kwa tasnia ya sinema nchini lilijiri usiku wa kuamkia Jumanne iliyopita, Sinza ya Vatican jijini Dar es Salaam ambapo baada ya kuumbuka, Vai alijikuta...

 

11 years ago

GPL

OFM YANASA DENTI DARASA LA 6 AKIJIUZA!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imemnasa denti wa darasa la sita anayesoma shule ya msingi (jina linahifadhiwa kimaadili) kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Denti wa darasa la sita aliyenaswa kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita maeneo ya Kahumba mjini...

 

11 years ago

GPL

NAY: NILISHUHUDIA BONGO MOVIE AKIJIUZA

Stori: Shani Ramadhan MKALI wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, amesema kuwa aliwahi kushuhudia staa mmoja wa filamu Bongo (jina tunalo) akijiuza kwa mgeni mmoja kutoka nje ya nchi na kwamba tukio kama hilo aliliona zaidi ya mara moja. Msanii wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego akipozi. Akizungumza na gazeti hili mapema juzi, Nay mkali wa nyimbo za Nakula ujana na Muziki Gani,...

 

10 years ago

GPL

AIBU 200% OFM YAMNASA HAUSIGERI AKIJIUZA

Stori:  Issa Mnally Na Richard Bukos
Tumekwisha! Kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kimemnasa msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli) akifanya biashara haramu ya kuuza mwili kwa kisingizio cha mshahara kiduchu. Kushoto ni hausigeli akifanya biashara ya uchangudoa maeneo ya Sinza jijini Dar. Tukio hilo la aina yake liliingia kwenye kamera za OFM maeneo ya Sinza jijini Dar, mwishoni mwa wiki...

 

11 years ago

Mwananchi

Abambwa na unga JNIA

Mtanzania mwenye uraia wa Oman, Hafidh Hilary (37) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za heroine.

 

10 years ago

GPL

DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI

UKANJANJA! Jeshi la Polisi wilayani Ikungi, Singida linamshikilia daktari anayedaiwa kuwa ni feki, Prosper Samson (pichani) kwa madai ya kumtibu mgonjwa Jibuli Mahende, mkazi  Kijiji cha Iyumbu, Sepuka na kumsababishia kifo chake, Uwazi linakupa mkasa huo kwa kina. Bw.Prosper Samson anayedaiwa kuwa ni daktari feki, akiwa nyumbani kwake. Habari zinadai kuwa,… ...

 

9 years ago

Michuzi

MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA

Mwanajeshi feki wa jeshi la wananchi(JWTZ)amekamatwa leo Mkoani Kigoma akiwa amevaa sare za jeshi hilo.
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...

 

10 years ago

Habarileo

Padri feki abambwa baada ya kusalisha

Leonard PaulJESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia mkazi wa Manispaa hiyo, Josephat Asenga (47), mwenye taaluma ya uhasibu, kwa tuhuma za kujifanya Padri.

 

10 years ago

GPL

RAIS WA CHUO ABAMBWA NA MAMILIONI CHUMBANI

STORI: Waandishi Wetu/Amani KIMENUKA! Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara (CBE), Ramadhan Kirungi amejikuta akiwa korokoroni ya Kituo cha Polisi cha Daraja la Salenda jijini Dar baada ya kudaiwa ‘kufoji’ saini ya benki ya wanachuo na kuchota shilingi milioni 31. Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Biashara (CBE), Ramadhan Kirungi. Kwa mujibu wa chanzo makini, wizi huo unadaiwa kubainika baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani