Padri feki abambwa baada ya kusalisha
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia mkazi wa Manispaa hiyo, Josephat Asenga (47), mwenye taaluma ya uhasibu, kwa tuhuma za kujifanya Padri.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh3.ggpht.com/-CNyC7d_mdqM/VPrMTvWGdLI/AAAAAAAAplE/TLG_KCblR8g/s72-c/1.jpg)
Padri FEKI Akamatwa Baada ya Kusalisha Misa Huko Morogoro
![](http://lh3.ggpht.com/-CNyC7d_mdqM/VPrMTvWGdLI/AAAAAAAAplE/TLG_KCblR8g/s640/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s72-c/20151102022546.jpg)
MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s640/20151102022546.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...
10 years ago
Habarileo08 Mar
Sifa za ziada za Padri feki
SIRI ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika.
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Afariki baada ya kutibiwa na daktari feki Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
MKULIMA na mkazi wa kijiji cha Iyumbu tarafa ya Sepuka wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Jubulu Mahende,amefariki dunia muda mfupi baada ya kupewa matibabu na mtu anayedaiwa kuwa ni daktari feki.
Imedaiwa kuwa Jubulu aliyekuwa akisumbuliwa na kifua, kiuno na mgongo alizidishiwa dawa kitendo kilichopelekea hali yake kuwa mbaya zaidi.
Daktari huyo ambaye amekiri hana cheti cha aina yo yote kutoka vyuo vya...
11 years ago
MichuziNews Alert:WANAFUNZI 212 WA UASKARI CHUO CHA TAALUMA YA POLISI MOSHI WAFUKUZWA BAADA YA KUBAINIKA KUTUMIA VYETI FEKI
CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari..
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya Polisi mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Kamishna...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLoMk-LCO1ms0LMyPSR09XE8RpDHDQ-YjmztLtto43mZBuWPo2DDYf*GutlUS--K5FhxvFRtif8RPQyQKhn*Raf/mwalimu.jpg?width=650)
MWALIMU ABAMBWA AKIJIUZA
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Abambwa na unga JNIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmpl-XF0QCi3aOHvpA3CIaUdfMYdKK5glStBQJNVj3CI8vD*5fq-Czr5FWfV*j4Nk3YKPMfJdJukQuptW5HOnybN/DKTR.jpg?width=650)
DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2wyRe1DF8m4GyGgC0iDZyTpdwRn6JpfAmBgyXasUewb7mRLtNVNc-clGZogJcS91bSQy-VIDueRUxEEecdAoOm/Kirungi.jpg)
RAIS WA CHUO ABAMBWA NA MAMILIONI CHUMBANI