MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA

Mwanajeshi feki wa jeshi la wananchi(JWTZ)amekamatwa leo Mkoani Kigoma akiwa amevaa sare za jeshi hilo.
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Mar
Padri feki abambwa baada ya kusalisha
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia mkazi wa Manispaa hiyo, Josephat Asenga (47), mwenye taaluma ya uhasibu, kwa tuhuma za kujifanya Padri.
11 years ago
GPL
MWANAJESHI FEKI ANASWA KWA UTAPELI
11 years ago
GPL
MWANAJESHI FEKI ATIWA MBARONI TANGA AKITAKA KUMTAPELI DC
11 years ago
GPL
MWALIMU ABAMBWA AKIJIUZA
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Abambwa na unga JNIA
11 years ago
GPL
DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI
10 years ago
GPL
RAIS WA CHUO ABAMBWA NA MAMILIONI CHUMBANI
11 years ago
GPL
ABAMBWA AKIIBA KANISANI, AGEUZWA BUCHA!
10 years ago
GPL
MSANII BONGO MUVI ABAMBWA MAKABURINI AWE KAMA WEMA NA LULU