MWANAJESHI FEKI ATIWA MBARONI TANGA AKITAKA KUMTAPELI DC

'Koplo feki' akihojiwa wa Luteni Yahya Wangwe na Mteule daraja la pili Albano Semfuko. 'Koplo feki' wa JWTZ akiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya. 'Koplo feki' akijiandaa kupanda…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA

Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...
11 years ago
GPL
MWANAJESHI FEKI ANASWA KWA UTAPELI
11 years ago
GPL
MAIMARTHA ATIWA MBARONI
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Aliyejifanya katibu wa JK atiwa mbaroni
11 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Mtuhumiwa wa ubakaji atiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kumkamata Michael William maarufu (Michael dada), mkazi wa Kiluvya, wilayani Kisarawe anayetuhumiwa kuhusika na matukio ya ubakaji wa vikongwe mkoani hapa. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkosamali atiwa mbaroni Kigoma
10 years ago
Habarileo02 Nov
Jangili mwingine hatari atiwa mbaroni
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili zinaendelea kuzaa matunda baada ya Kikosi cha Kupambana na Ujangili kumkamata mtuhumiwa mkuu wa ujangili, Boniface Mathew Mariango maarufu Shetani.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Anayedaiwa kuwatapeli wastaafu atiwa mbaroni
10 years ago
Habarileo20 May
Mkufunzi ‘Red Brigade’ atiwa mbaroni
POLISI mkoani Morogoro inamshikilia Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Boniface Jacob (32) , mkazi wa Dar es Salaam kwa kudaiwa kukiuka Sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ya Vyama vya Siasa nchini inayozuia uundaji wa vikundi vya ulinzi wa vyama.