NAY: NILISHUHUDIA BONGO MOVIE AKIJIUZA
![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jx5iFm4cnn0KvB1E0xunnHxnpW-pEOTeiPQKLPcGviH5fZi2gJcok-k1APH4k0CVeB8cy3nmPl4tqLjhFnMLgqB/nay.jpg)
Stori: Shani Ramadhan MKALI wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, amesema kuwa aliwahi kushuhudia staa mmoja wa filamu Bongo (jina tunalo) akijiuza kwa mgeni mmoja kutoka nje ya nchi na kwamba tukio kama hilo aliliona zaidi ya mara moja. Msanii wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego akipozi. Akizungumza na gazeti hili mapema juzi, Nay mkali wa nyimbo za Nakula ujana na Muziki Gani,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsZPt*PBhwl4gjEfpR9TED1n40QrIAkqi57x-W9-2nBGJwFY*3z3DVP*Bqz5Y4uNuMMmD*5MPs9VHRk*dtRbC0V/mastaa.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI ANASWA AKIJIUZA
5 years ago
Bongo514 Feb
Wasanii wa Bongo Movie wanaishi ‘Ki Bongo Flava’ – Nikki wa Pili
Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na kuzinyima filamu za ndani nafasi ya kufanya vizuri sokoni.
Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya Jumatano wiki hii baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana wakiwa na Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda, kupinga filamu hizo ambapo RC huyo alipiga marufuku filamu hizo huku akitaka...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva
Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao
“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...
10 years ago
Bongo509 Feb
PAPASO: Florah Mvungi adai Bongo Movie hawapendani na AT asema Bongo Fleva imejaa majungu tupu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLac405kV7-n-kdbWIUEWU-8Ey8LrGutOXn5cJBZKU6-H67PP7b*sXZXSzVSqkuLWsyS*WtoRhU50GgRVCb2O-RE6/MAMAWEMA.jpg)
KAMA NAMSOMA NAY WA MITEGO KUHUSU BONGO MOVIES!
11 years ago
GPLKAMPENI BONGO MOVIE