Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIBU 200% OFM YAMNASA HAUSIGERI AKIJIUZA

Stori:  Issa Mnally Na Richard Bukos
Tumekwisha! Kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kimemnasa msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli) akifanya biashara haramu ya kuuza mwili kwa kisingizio cha mshahara kiduchu. Kushoto ni hausigeli akifanya biashara ya uchangudoa maeneo ya Sinza jijini Dar. Tukio hilo la aina yake liliingia kwenye kamera za OFM maeneo ya Sinza jijini Dar, mwishoni mwa wiki...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OFM YAMNASA!

Stori: Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili. Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake. Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki...

 

11 years ago

GPL

OFM YANASA DENTI DARASA LA 6 AKIJIUZA!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imemnasa denti wa darasa la sita anayesoma shule ya msingi (jina linahifadhiwa kimaadili) kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Denti wa darasa la sita aliyenaswa kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita maeneo ya Kahumba mjini...

 

10 years ago

GPL

OFM YAMNASA MGANGA WA MASTAA BONGO

Waandishi wetu
Laivu! Ile Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imemfungia kazi na kumnasa sangoma anayedaiwa kuwafanyia mastaa mandigo akiwemo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ili wang’ae kwa kuwasafishia nyota aitwaye Khalid Tege. Sangoma anayedaiwa kuwafanyia mastaa mandigo akiwemo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ili wang’ae kwa kuwasafishia nyota aitwaye Khalid...

 

11 years ago

GPL

RAY C LIVE; OFM YAMNASA AKICHUKUA DOZI

Na Musa Mateja
Kabang! Kwa mara ya kwanza, Kikosi Kazi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kimefanikisha zoezi la kumnasa laivu Mbongo-Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akizama na kuchukua dozi ya dawa za kuondoa sumu ya madawa ya kulevya ‘unga’ mwilini, Amani lina tukio kamili. Staa Ray C almaarufu "Kiuno Bila Mfupa" akielekea kwenye gari lake mara baada ya kupata dozi yake ya...

 

10 years ago

GPL

KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Ni aibu iliyoje! Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili ya Sikukuu ya Krismasi imewatokea puani wanawake zaidi ya kumi akiwemo mke wa mtu baada ya kunaswa mawindoni na kutiwa nguvuni. Makamanda wa Polisi pamoja na kikosi cha OFM wakiwataiti wanawke waliokuwa wakijiuza. Tukio hilo la aibu lilitokea katika msako maalum wa polisi waliotoa kolabo kwa Oparesheni Fichua...

 

11 years ago

GPL

OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI

Mshuhudie Kamanda hatari wa OFM aliyepania kuibadilisha Tanzania, akiripoti tukio la aina yake ambapo mara hii amemnasa mzungu aliyekuwa na denti wa kidato cha tatu gesti, tena usiku wa manane! Ungana na Global TV Online kupata full stori!

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

GPL

MWALIMU ABAMBWA AKIJIUZA

Na Waandishi Wetu
AIBU! Wakati Wakristo bado wapo kwenye Kwaresma, mama aliyejitambulisha kuwa ni mwalimu wa shule ya msingi, amenaswa laivu akijiuza maeneo ya Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mwalimu akiwa ameduwaa baada ya kunaswa kwenye sakata hilo. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 24, mwaka huu ambapo awali, wakazi wa eneo hilo waliwatonya mapaparazi wa Operesheni Fichua Maovu (OFM) kuwa kuna danguro kubwa maeneo ya...

 

11 years ago

GPL

NAY: NILISHUHUDIA BONGO MOVIE AKIJIUZA

Stori: Shani Ramadhan MKALI wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego, amesema kuwa aliwahi kushuhudia staa mmoja wa filamu Bongo (jina tunalo) akijiuza kwa mgeni mmoja kutoka nje ya nchi na kwamba tukio kama hilo aliliona zaidi ya mara moja. Msanii wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego akipozi. Akizungumza na gazeti hili mapema juzi, Nay mkali wa nyimbo za Nakula ujana na Muziki Gani,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani