RAY C LIVE; OFM YAMNASA AKICHUKUA DOZI
![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VM0H6dK1JZOvOAwFf7syqupvfuPAQYKmqC84hXyc0HKpmWOmF0B5Pda8PbBan0w4nMPP*hhyRPF3pBD*ZWXtmI/rayc.jpg?width=650)
Na Musa Mateja Kabang! Kwa mara ya kwanza, Kikosi Kazi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kimefanikisha zoezi la kumnasa laivu Mbongo-Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akizama na kuchukua dozi ya dawa za kuondoa sumu ya madawa ya kulevya ‘unga’ mwilini, Amani lina tukio kamili. Staa Ray C almaarufu "Kiuno Bila Mfupa" akielekea kwenye gari lake mara baada ya kupata dozi yake ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KYKQZva9R5jpXzkiF--Eq8oOPSoPDAQrwkKPYCD80WN5MK94Mi6JjfKqm9V5vXvZMB8ZX05z-QMi15uBsLA91X/ofm.jpg?width=650)
OFM YAMNASA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH*yMRkFw9Rtq0FdUQnFrYaoOm85pCcqDTOALjkdrd4qp3dtWQf5zSPI7tfxDmRHI9EUrv75kBy4Y1e1Y5jx2Ax5/Malope.jpg?width=650)
OFM YAMNASA MGANGA WA MASTAA BONGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5KARWGRXJGmxRloO5UrSsjCmQTRSoO48b9*if5q-k1KoHosqOy73zhN6qUWkBZHi8XppJ3pS4yacH24Xge57vn/aibu.jpg)
AIBU 200% OFM YAMNASA HAUSIGERI AKIJIUZA
10 years ago
CloudsFM08 Jan
RAY C AFUNGUKA HABARI ZILIZOENEA KUWA AKATISHA DOZI YA MADAWA YA KULEVYA
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’’amefunguka habari zilizoenea kuwa amekatisha dozi ya kuacha madawa ya kulevya ya Methadone anayoichukua katika hospitali ya Mwananyamala,jijini Dar.
11 years ago
GPL20 Mar
OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpih0V5ZFuRIqjsZJ6lyfBYZHIoAOwlnPkd0mDFa3ON5Z8tzgMpp5g2NNEVB4GUjkkUIkwB8xZDedhnoqsyuXy9/can.jpg)
LIVERPOOL YAMNASA EMRE CAN
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Yanga yamnasa Mateo
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
10 years ago
GPL26 Jun