Yanga yamnasa Mateo
Wakati Simba wakiwa na kigugumizi juu ya kumsajili mshambuliaji wa KMKM, Mateo Simon watani zao Yanga wameingilia kati na kumpa mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY
Amissi Tambwe. Mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea klabu ya Yanga SC baada ya kutemwa na timu yake ya zamani Simba SC. Tambwe ndiye mfungaji bora wa msimu uliopita Ligi Kuu Bara baada ya kutupia mabao 19. Kessy (katikati )akisaini mkataba wa miezi 18 kuichezea Simba SC jana. Kulia ni Geofrey Nyange 'Kaburu' na kushoto ni msimamizi wa Kessy, Athuman Tippo. Wakati Tambwe… ...
5 years ago
The Pride Of London18 Feb
Chelsea player ratings: VAR overshadows Mateo Kovacic, covers for others
Chelsea player ratings: VAR overshadows Mateo Kovacic, covers for others The Pride of LondonHarry Maguire told his brother before the game exactly how he'd score in Chelsea 0-2 Man United GIVEMESPORT'Brave as a lion' – Solskjaer lavishes praise on Bailly after Manchester United win Goal.comBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea Sportslens.comChelsea 0-2 Man Utd: Mark Clattenburg confirms Harry Maguire should have seen red GIVEMESPORTView Full coverage on Google...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KYKQZva9R5jpXzkiF--Eq8oOPSoPDAQrwkKPYCD80WN5MK94Mi6JjfKqm9V5vXvZMB8ZX05z-QMi15uBsLA91X/ofm.jpg?width=650)
OFM YAMNASA!
Stori: Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili. Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake. Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpih0V5ZFuRIqjsZJ6lyfBYZHIoAOwlnPkd0mDFa3ON5Z8tzgMpp5g2NNEVB4GUjkkUIkwB8xZDedhnoqsyuXy9/can.jpg)
LIVERPOOL YAMNASA EMRE CAN
KLABU ya Liverpool imemsajili kiungo wa Bayer Leverkusen, Emre Can (20) kwa ada ya pauni milioni 9.75. Mchezaji huyo anayechezea timu ya Taifa ya U-21 ya Ujerumani ni wa pili kusajiliwa na klabu hiyo kwa wiki hii baada ya Rickie Lambert aliyesajiliwa Jumatatu kwa pauni milioni 4 akitokea Southampton.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Q*aLMEZ1JbfKvJbjG3Og1VI37bdvOeLa89mvDrIXnBy5H1pe3VsTIficyXwfOTEDSERPoF-6DmMAnpOHmHb7Ig/FRONT.jpg?width=650)
RUSHWA YA NGONO YAMNASA KANJIBAI
Stori:Â richard Bukos na Issa Mnally/Ijumaa
Hii ni tuhuma nzito! Katika hali inayoonesha maadili Bongo yanagaragazwa kwa kiwango cha kutisha, mapema wiki hii jamaa mmoja mfanyabiashara mwenye asili ya Kihindi almaarufu Kanjibai au Ponjoro, alinaswa kitandani akiwa mtupu na mwanamke aitwaye Hidaya ambaye ni mke wa mtu, akidaiwa kudai rushwa ya ngono ili ampe ajira. Kanjibai akiwa mpole baada ya kufumaniwa. OFM YATONYWA
...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Takukuru yamnasa mhazini manispaa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inamshikilia Mwekahazina wa Manispaa ya Musoma kwa tuhuma za kudai rushwa ya ngono kutoka kwa msichana anayefanya mafunzo kwa vitendo idara ya fedha ya halmashauri hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO*3EJgWVceBqINg9ERVQpScMRad0-pZLFN-w2jPtCFVVx8nzfIcMcYgHWUI1RKb0J7clU5FQUHFVWa4IjjqJJNJ/SIMBA.jpg)
Simba yapigwa, yamnasa Kessy
Beki wa Mtibwa, Hamis Kessy. Na Nicodemus Jonas
SIMBA imejikuta ikiwa na mwendo mbaya kuelekea kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe 2 dhidi ya Yanga Jumamosi ijayo, kwani jana Jumapili ilipata kipigo cha mabao 4-2 kutoka kwa Mtibwa Sugar, kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar. Simba imepata kipigo hicho katika mechi hiyo ya kirafiki lakini baada ya mechi hiyo iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya mashabiki, Mwenyekiti wa Kamati ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH*yMRkFw9Rtq0FdUQnFrYaoOm85pCcqDTOALjkdrd4qp3dtWQf5zSPI7tfxDmRHI9EUrv75kBy4Y1e1Y5jx2Ax5/Malope.jpg?width=650)
OFM YAMNASA MGANGA WA MASTAA BONGO
Waandishi wetu
Laivu! Ile Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imemfungia kazi na kumnasa sangoma anayedaiwa kuwafanyia mastaa mandigo akiwemo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ili wang’ae kwa kuwasafishia nyota aitwaye Khalid Tege. Sangoma anayedaiwa kuwafanyia mastaa mandigo akiwemo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ili wang’ae kwa kuwasafishia nyota aitwaye Khalid...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5KARWGRXJGmxRloO5UrSsjCmQTRSoO48b9*if5q-k1KoHosqOy73zhN6qUWkBZHi8XppJ3pS4yacH24Xge57vn/aibu.jpg)
AIBU 200% OFM YAMNASA HAUSIGERI AKIJIUZA
Stori:Â Issa Mnally Na Richard Bukos
Tumekwisha! Kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kimemnasa msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli) akifanya biashara haramu ya kuuza mwili kwa kisingizio cha mshahara kiduchu. Kushoto ni hausigeli akifanya biashara ya uchangudoa maeneo ya Sinza jijini Dar. Tukio hilo la aina yake liliingia kwenye kamera za OFM maeneo ya Sinza jijini Dar, mwishoni mwa wiki...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania