Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete amwaga mamilioni Simba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Na Hans Mloli
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amemkabidhi hundi ya Sh milioni 30 mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage kama mchango wake kwenye harakati za ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo uliopo Bunju, Dar. Rage aliweka bayana mchango wa rais huyo mbele ya waandishi wa habari jana Jumapili mara baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Katiba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awaongoza viongozi mbali mbali na mamia ya waombolezaji kumfariji Mh. Sophia Simba kwa kufiwa na Mwanae Leeford Simba

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na Watoto Mhe.Sophia Simba kufuatia kifo cha mwanaye Marehemu Leeford Simba huko Mikocheni jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pole na...

 

10 years ago

Mtanzania

Mwalyanzi amwaga wino Simba

IMG-20150524-WA0026NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KLABU ya Simba imejibu mapigo ya wapinzani wao wa jadi, Yanga, baada ya kumnasa aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi na kumpa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo msimu ujao.
Jana Simba iliangukia pua kwenye mbio za kumnasa winga Deus Kaseke, aliyekuwa amemaliza mkataba wake Mbeya City kama Mwalyanzi, baada ya Yanga kumuwahi na kumsajili.
Wakati Simba ikiinasa saini ya Mwalyanzi, imefanikiwa kuzizidi kete Azam FC na Yanga ambazo awali...

 

10 years ago

GPL

SIMBA KULIPWA MAMILIONI

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeiagiza Etoile du Sahel kulipa kitita cha dola 300,000 (zaidi ya milioni 500) pamoja na faini. Fifa imeitaka klabu hiyo ya Sousse nchini Tunisia kuhakikisha inalipa fedha hizo ndani ya mwezi mmoja pamoja na faini ya dola 28,000. Hatua hiyo imefikia baada ya Simba kushinda kesi iliyotokana na Simba kushitaki kwa Fifa baada ya Etoile kushindwa kulipa fedha za malipo ya kumnunua Emmanuel Okwi...

 

10 years ago

GPL

Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao

Mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli  
MAISHA ya mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe katika kikosi hicho hivi karibuni yameonekana kuwa magumu na kujikuta uso wake ukipoteza furaha kila kukicha huku akibubujikwa na machozi bila ya kutarajia. Hali hiyo inatokana na kushindwa kung’ara katika mechi mbili za kirafiki ambazo Simba imecheza huko mjini Unguja ilikopiga kambi...

 

11 years ago

GPL

Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe

Shomari Kapombe. Na Nicodemus Jonas
KLABU ya Simba SC, imesema inasubiria mamilioni ya fedha kutoka kwa Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa kutokana na mauzo ya Shomari Kapombe kwa Azam FC. Simba ilimpeleka nyota huyo Ufaransa mwaka jana, kwa makubaliano maalum, kuwa iwapo timu hiyo itafanikiwa kumuuza nyota huyo ndani ya miaka mitatu, basi wataambulia asilimia 40 za mauzo hayo huku 40 nyingine zikiliwa na Cannes wakati 20...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe avuna mamilioni Simba

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeitaka Simba kumlipa mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe

 

10 years ago

GPL

Okwi aogelea mamilioni Simba

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
KILA mwenye nacho huongezewa, kwani Simba imemuongezea mshahara mshambuliaji wake Emmanuel Okwi ambaye sasa analipwa dola 4,000 kwa mwezi ambazo ni sawa na Sh milioni 7.Kabla ya ongezeko la mshahara huo, Okwi raia wa Uganda alikuwa analipwa mshahara wa dola 3,000 (Sh milioni 5.3). Awali Okwi alikuwa akilipwa kiasi hicho cha fedha baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

GORAN AMWAGA WINO KWA MWAKA MMOJA KUINOA SIMBA

KOCHA mpya wa Simba raia wa Serbua Goran Kopunovic amemwaga wino wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo ya Msimbazi.
Mmoja wa viongozi wa Simba aliiambia blog ya jamii kuwa kocha huyo aliyewasili leo asubuhi na kufikia kwenye hotel ya Double Tree Masaki ataondoka kesho kwenda Zanzibar kujiunga na timu hiyo ya wekundu wa Msimbazi inayoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Naye Kopunovic akizungumza muda mfupi baada ya kukanyaga hardhi ya Tanzania alisema "Nimekuja kufanya kazi, naamini nitapata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani