Rais Kikwete amwaga mamilioni Simba
![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3CYv0bKoFXF19wdhW5ZIHIIS7l7*6yPZIrRTPXOpx3JdJUZNK6IiZrI9hma8NU4lYVnrUnzv6aHaSWkOaK*G*-f/kikwete.jpg?width=650)
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Na Hans Mloli RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amemkabidhi hundi ya Sh milioni 30 mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage kama mchango wake kwenye harakati za ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo uliopo Bunju, Dar. Rage aliweka bayana mchango wa rais huyo mbele ya waandishi wa habari jana Jumapili mara baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Katiba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s72-c/5.jpg)
Rais Kikwete awaongoza viongozi mbali mbali na mamia ya waombolezaji kumfariji Mh. Sophia Simba kwa kufiwa na Mwanae Leeford Simba
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F0eJK6_sLhc/UxsqAiqYkXI/AAAAAAAFSB8/w4vw7Bk1k3U/s1600/9.jpg)
10 years ago
Mtanzania25 May
Mwalyanzi amwaga wino Simba
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KLABU ya Simba imejibu mapigo ya wapinzani wao wa jadi, Yanga, baada ya kumnasa aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi na kumpa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo msimu ujao.
Jana Simba iliangukia pua kwenye mbio za kumnasa winga Deus Kaseke, aliyekuwa amemaliza mkataba wake Mbeya City kama Mwalyanzi, baada ya Yanga kumuwahi na kumsajili.
Wakati Simba ikiinasa saini ya Mwalyanzi, imefanikiwa kuzizidi kete Azam FC na Yanga ambazo awali...
10 years ago
GPLSIMBA KULIPWA MAMILIONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPi8ITDN-D6u3EQcSr5f5jiFIy*omumexKqsmfntV3Chx2ZKrUSdqVTQqI45O08V3mY0zpkFVZHN8gfrPrwL-sEr/tambwe.jpg)
Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIiPj1MydQhba3n9ZqYHEx2pExu9XvffUA-q0F*z4Kp9DahzrJ22Rg*1lDQVymv3tzsX7voZ86II8SSQbmyeuU6/simba.jpg?width=650)
Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Tambwe avuna mamilioni Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZxGmendPuEbJZOE7hyWsMlcYT9txXjbArUQtXF3XJWdpRxN4z1DQrBTEsPwmVQIVQDc9AosyqB-sxB7fcj3fOsu/1.gif)
Okwi aogelea mamilioni Simba
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RJJr8Zgmh9g/VKQCd2NFAOI/AAAAAAAG6y0/r0f6kuhD-TI/s72-c/1331248128Goran-Kopunovic.jpg)
GORAN AMWAGA WINO KWA MWAKA MMOJA KUINOA SIMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RJJr8Zgmh9g/VKQCd2NFAOI/AAAAAAAG6y0/r0f6kuhD-TI/s1600/1331248128Goran-Kopunovic.jpg)
Mmoja wa viongozi wa Simba aliiambia blog ya jamii kuwa kocha huyo aliyewasili leo asubuhi na kufikia kwenye hotel ya Double Tree Masaki ataondoka kesho kwenda Zanzibar kujiunga na timu hiyo ya wekundu wa Msimbazi inayoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Naye Kopunovic akizungumza muda mfupi baada ya kukanyaga hardhi ya Tanzania alisema "Nimekuja kufanya kazi, naamini nitapata...