Rais Magufuli aagiza mamilioni ya sherehe ya Bunge yapelekwe Muhimbili
Na Mwandishi Wetu
RAIS John Magufuli ameagiza zaidi ya Sh milioni 200 zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya uzinduzi wa Bunge la 11 zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kwenda kununulia vitanda vya wagonjwa.
Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bunge la 11 iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Rais Magufuli alisema ni jambo jema kwa wabunge kujinyima ili kuwasaidia wagonjwa walioko Muhimbili.
“Nilipoambiwa zimechangwa Sh milioni 225...
Mtanzania
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania