Rais Magufuli aagiza mamilioni ya sherehe ya Bunge yapelekwe Muhimbili
Na Mwandishi Wetu
RAIS John Magufuli ameagiza zaidi ya Sh milioni 200 zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya uzinduzi wa Bunge la 11 zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kwenda kununulia vitanda vya wagonjwa.
Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bunge la 11 iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Rais Magufuli alisema ni jambo jema kwa wabunge kujinyima ili kuwasaidia wagonjwa walioko Muhimbili.
“Nilipoambiwa zimechangwa Sh milioni 225...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Rais Magufuli aagiza fedha za hafla ya wabunge zipelekwe Muhimbili kununulia vitanda vya wagonjwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Mheshimiwa Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kupokea taarifa kuwa wadau mbalimbali wamechanga...
9 years ago
Habarileo12 Nov
Rais Magufuli asikika, MRI Muhimbili yatengamaa
MASHINE ya MRI iliyokuwa imeharibika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), sasa imeanza kufanya kazi baada ya kukamilika kwa matengenezo yake. Utengenezaji wa mashine hiyo ni utekelezaji wa amri ya Rais John Magufuli aliyoitoa kwa uongozi mpya wa MNH aliouteua, baada ya kutembelea hospitali hiyo hivi karibuni.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/DK.-MAGUFULI-2.jpg?width=650)
RAIS MAGUFULI ATINGA MUHIMBILI GHAFLA, AONGEA NA WAGONJWA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s72-c/20200229_171553.jpg)
NEWZ ALERT: Rais Magufuli amjulia hali Mzee Mangula Hospitalini Muhimbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s640/20200229_171553.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 29 Februari, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ndg. Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_euRxtzEVi4/XlqfbFx0vKI/AAAAAAALgKI/IjecBetw02s7XXeq3P3Bou0Z17KzZ-z_wCLcBGAsYHQ/s640/20200229_171741.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IT5ThVq_ZhA/XlqfbHRei4I/AAAAAAALgKM/1tX9HkwoxQUlucLT3bzmh3trrFWX9QALQCLcBGAsYHQ/s640/20200229_172106.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQicRrfdA7M/XlqfcMp5sXI/AAAAAAALgKQ/FPD4KBDF3K8wJis7supbWUBprTOrUGlkACLcBGAsYHQ/s640/20200229_172107.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Sherehe za kumuapisha Rais mpya Dk. John Magufuli zafana jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-jN2KNC1GvuE/Vjt-zlFR8LI/AAAAAAABouM/8D4B1oCDk08/s640/IMG_9448.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lVYgLdRby1w/Vjt-6ryuBcI/AAAAAAABouU/SGrJIKW2yNI/s640/IMG_9450.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bR7Oxr9wDns/Vjt_L9j3BrI/AAAAAAABouc/dOjLF_kcBVk/s640/IMG_9483.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-96PNDprN2d8/Vjt_bznHn0I/AAAAAAABouk/ewAq21euZyI/s640/IMG_9497.jpg)
9 years ago
MichuziMAANDALIZI YA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MPYA DK. MAGUFULI YAPAMBA MOTO JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMSD YAKARABATI JENGO LA DUKA LA DAWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA KASI KUBWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS DK.MAGUFULI
BOHARI ya Dawa (MSD) imejiimarisha na kuhahikisha inatekeleza kwa wakati agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuweka maduka ya dawa katika hospitali za rufaa na kanda nchini.
Katika kutekeleza agizo hilo MSD imeanza kwa kasi kubwa ya kukarabati jengo la duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambalo linatarajiwa kufunguliwa kesho.
Mwandishi wa habari hii alishuhudia jana kasi kubwa ya mafundi ujenzi wakikarabati jengo hilo ambalo awali lilikuwa...