Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga Manzese waikalia Ahly

WANACHAMA wa Klabu ya Yanga, tawi la Manzese jijini Dar es Salaam, leo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kusaidiana na uongozi kuelekea mechi ya awali ya raundi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga kupepetana na Al-Ahly

Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga need self-belief to beat Al Ahly

Young Africans chief coach’s confidence on the ability of his players to take on big opponents is a good base for the team’s success against Egypt’s Al Ahly this weekend.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga ‘Daudi’, Al Ahly ‘Goliath’

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm ametabiri mchezo kati ya timu yake na Al Ahly ni sawa na kisa cha Daudi na Goliath na kuahidi kuishangaza dunia.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga: No player moving to Ahly

Young Africans have dismissed widespread rumours linking their three star players with transfers to Egyptian champions Al Ahly. Rumours had it that Al Ahly have initiated talks to sign the trio of shot-stopper Deo Munishi, defender Nadir Haroub and striker Didier Kavumbagu when the Vodacom Premier League climaxes next month.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Al Ahly aichambua Yanga

Kocha Msaidizi wa Al Ahly, Ahmed Ayoub ameichambua Yanga kwa kusema ni timu bora katika kushambulia, lakini si nzuri kwenye safu ya ulinzi.

 

11 years ago

GPL

Yanga SC yailipa Al Ahly Sh milioni 16

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga wamelazimika kumwaga kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 16) kuwapa Al Ahly kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumamosi. Timu hizo zitapambana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari mabingwa hao wa Afrika wametua nchini, tayari kupambana na mabingwa hao wa Tanzania waliopania kuuangusha mbuyu huo. Habari za uhakika kutoka ndani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani