Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga kupepetana na Al-Ahly

Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga Manzese waikalia Ahly

WANACHAMA wa Klabu ya Yanga, tawi la Manzese jijini Dar es Salaam, leo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kusaidiana na uongozi kuelekea mechi ya awali ya raundi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga jipangeni kuwakabili Ahly

TIMU ya Yanga imefanikiwa kutinga raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuwang’oa wapinzani wao Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Idadi hiyo...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga: No player moving to Ahly

Young Africans have dismissed widespread rumours linking their three star players with transfers to Egyptian champions Al Ahly. Rumours had it that Al Ahly have initiated talks to sign the trio of shot-stopper Deo Munishi, defender Nadir Haroub and striker Didier Kavumbagu when the Vodacom Premier League climaxes next month.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Yanga aishtukia Al Ahly

Kocha wa Yanga, Hans Van der Pluijm amebaini janja ya Al Ahly ya kuifuatilia, lakini  yeye atabadili mbinu za uchezaji za timu yake.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga need self-belief to beat Al Ahly

Young Africans chief coach’s confidence on the ability of his players to take on big opponents is a good base for the team’s success against Egypt’s Al Ahly this weekend.

 

11 years ago

Mwananchi

Kasi ya Yanga yawavuruga Al Ahly

>Beki wa Al- Ahly, Said Ahmed Shedid amesema mechi ya marudiano itakuwa ngumu kwao kutokana na kasi ya washambuliaji wa Yanga pamoja na uwezekano wa mechi hiyo kuchezwa nje ya Cairo na El Gouna.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani