Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga kupepetana na Al-Ahly

Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika

 

11 years ago

Mwananchi

Kasi ya Yanga yawavuruga Al Ahly

>Beki wa Al- Ahly, Said Ahmed Shedid amesema mechi ya marudiano itakuwa ngumu kwao kutokana na kasi ya washambuliaji wa Yanga pamoja na uwezekano wa mechi hiyo kuchezwa nje ya Cairo na El Gouna.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga need self-belief to beat Al Ahly

Young Africans chief coach’s confidence on the ability of his players to take on big opponents is a good base for the team’s success against Egypt’s Al Ahly this weekend.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga ‘Daudi’, Al Ahly ‘Goliath’

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm ametabiri mchezo kati ya timu yake na Al Ahly ni sawa na kisa cha Daudi na Goliath na kuahidi kuishangaza dunia.

 

11 years ago

GPL

Yanga, Al Ahly hakuna mashabiki

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, watacheza mechi yao ya marudiano na Al Ahly bila ya kuwa na mashabiki watakaoingia kutazama mechi hiyo. Mechi hiyo itakayopigwa Machi Mosi jijini Cairo haitakuwa na mashabiki isipokuwa wachache tu watakaopata kibali kutoka kwa Shirikisho la Soka la Misri (EFA). Mwaka juzi zilizuka vurugu kubwa baada ya timu ya Al Masry kuwachapa… ...

 

11 years ago

GPL

Al Ahly watimuliwa hoteli ya Yanga SC

UONGOZI wa Hoteli ya Sheraton Montazah jijini hapa, ulifanya kitendo ambacho wengi hawakukitegemea baada ya kugoma kuipokea timu ya Al Ahly. Ahly pamoja na kujua kwamba Yanga walikuwa wame ‘book’ kuishi katika hoteli hiyo iliyo ufukweni mwa Bahari ya Mediterranean, bado na wenyewe walisisitiza kutaka kuishi hapo. Uongozi wa hoteli hiyo uliwasisitiza kwamba hautaweza kuchukua timu mbili kwa wakati mmoja ingawa hoteli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga jipangeni kuwakabili Ahly

TIMU ya Yanga imefanikiwa kutinga raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuwang’oa wapinzani wao Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Idadi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani