Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga jipangeni kuwakabili Ahly

TIMU ya Yanga imefanikiwa kutinga raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuwang’oa wapinzani wao Komorozine ya Comoro kwa jumla ya mabao 12-2. Idadi hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Yanga kupepetana na Al-Ahly

Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

Mwananchi

Kasi ya Yanga yawavuruga Al Ahly

>Beki wa Al- Ahly, Said Ahmed Shedid amesema mechi ya marudiano itakuwa ngumu kwao kutokana na kasi ya washambuliaji wa Yanga pamoja na uwezekano wa mechi hiyo kuchezwa nje ya Cairo na El Gouna.

 

11 years ago

GPL

Yanga SC yailipa Al Ahly Sh milioni 16

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga wamelazimika kumwaga kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 16) kuwapa Al Ahly kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumamosi. Timu hizo zitapambana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari mabingwa hao wa Afrika wametua nchini, tayari kupambana na mabingwa hao wa Tanzania waliopania kuuangusha mbuyu huo. Habari za uhakika kutoka ndani ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Bring on Al Ahly, says Yanga coach

>Young Africans head coach Hans Van Pluijm insists the Mainland champions have no reason to fear Al Ahly as they prepare to face the African Champions League titleholders in the first round next weekend.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Yanga aishtukia Al Ahly

Kocha wa Yanga, Hans Van der Pluijm amebaini janja ya Al Ahly ya kuifuatilia, lakini  yeye atabadili mbinu za uchezaji za timu yake.

 

11 years ago

GPL

Yanga, Al Ahly hakuna mashabiki

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, watacheza mechi yao ya marudiano na Al Ahly bila ya kuwa na mashabiki watakaoingia kutazama mechi hiyo. Mechi hiyo itakayopigwa Machi Mosi jijini Cairo haitakuwa na mashabiki isipokuwa wachache tu watakaopata kibali kutoka kwa Shirikisho la Soka la Misri (EFA). Mwaka juzi zilizuka vurugu kubwa baada ya timu ya Al Masry kuwachapa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani