Bring on Al Ahly, says Yanga coach
>Young Africans head coach Hans Van Pluijm insists the Mainland champions have no reason to fear Al Ahly as they prepare to face the African Champions League titleholders in the first round next weekend.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82772000/jpg/_82772272_ahly.jpg)
Ahly appoint Mabrouk as new coach
Egyptian champions Al Ahly install Fathi Mabrouk as their new coach to replace sacked manager Juan Carlos Garrido.
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/AC31/production/_85918044_028269310.jpg)
Egypt's Al Ahly sack coach Mabrouk
Al Ahly sack coach Fathi Mabrouk following the Egyptian club's first season without a major trophy since 2004.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly
Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika
10 years ago
TheCitizen24 Nov
Doubts linger as Yanga bring another Brazilian
>Will Emerson De Oliveira Neves Rouqe be an asset or a liability? This might be the big question going through the minds of Young Africans supporters.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Yanga yaishika pabaya Ahly
Uongozi wa Klabu ya Al Ahly ya Misri umekataa mchezo wa baina yao na wawakilishi wa Tanzania, Yanga kupigwa katika mji wa El Gouna na badala yake umependekeza ufanyike katika jiji la Alexandria.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Kasi ya Yanga yawavuruga Al Ahly
>Beki wa Al- Ahly, Said Ahmed Shedid amesema mechi ya marudiano itakuwa ngumu kwao kutokana na kasi ya washambuliaji wa Yanga pamoja na uwezekano wa mechi hiyo kuchezwa nje ya Cairo na El Gouna.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania