Yanga SC yailipa Al Ahly Sh milioni 16
![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2poO*pOjb6*nPJ4LRHMe59dKChy6381NftZ*H9*S7hsG2dBgrb1ZElki5u7mR3f*C4u6b7GDQMqMvp2WejHGBHF4/IMG_4711.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga wamelazimika kumwaga kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 16) kuwapa Al Ahly kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumamosi. Timu hizo zitapambana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari mabingwa hao wa Afrika wametua nchini, tayari kupambana na mabingwa hao wa Tanzania waliopania kuuangusha mbuyu huo. Habari za uhakika kutoka ndani ya...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100
![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya Serikali na...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO
Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6da33FpYpp4kSiofbB7ON3p5Nj9eTV*bhXunAecU5R-S7P8CWazc0VXZ9Tl4M7X5Jw-4F1Gxftll0TZIkaDb2eUl/YANGA.gif?width=600)
Yanga, Al Ahly hakuna mashabiki
11 years ago
TheCitizen13 Mar
Yanga: No player moving to Ahly
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Yanga Manzese waikalia Ahly
WANACHAMA wa Klabu ya Yanga, tawi la Manzese jijini Dar es Salaam, leo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kusaidiana na uongozi kuelekea mechi ya awali ya raundi ya...