Madudu yatikisa Bunge la Kumi
Bunge la 10 likielekea ukingoni baada ya kupitisha Bajeti ya Serikali leo, mambo matatu mazito yametajwa kama ‘madudu’ yaliyoleta mtikisiko na kuonekana kama ishara ya kuisimamia Serikali na kusababisha baadhi ya mawaziri kupoteza nafasi zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 May
10 years ago
Michuzi06 Nov
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Bunge latishwa na madudu Ranchi ya Ruvu
NA KHADIJA MUSSA
MSAJILI wa Hazina kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, wametakiwa kupitia upya ripoti ya ukaguzi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) na kuchukua uamuzi ndani ya wiki tatu.
Pia Bodi ya NARCO imeagizwa kufanya tathmini iwapo menejimenti ya NARCO na ya Ranchi ya Ruvu kama zinastahili kuendelea na kazi zao na kutoa majibu katika kipindi cha wiki tatu.
Msajili ya Hazina ametakiwa kutathmini na kubaini kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya...
11 years ago
Mwananchi27 May
Bajeti ya Mwakyembe yatikisa Bunge, yapita
>Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe jana usiku alikuwa katika wakati mgumu wakati Bunge lilipoketi kama Kamati ya Matumizi, kiasi cha kutishia bajeti ya wizara yake kukwama.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Kura ya hapana yatikisa Bunge Maalumu la Katiba
Wajumbe wa Bunge la Maalumu la Katiba jana walianza kupiga kura za kuamua ibara za Katiba inayopendekezwa, huku kura za wajumbe kutoka Zanzibar zikiibua wasiwasi wa iwapo theluthi mbili itapatikana au la.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8_YuSSGQPYU/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Mambo kumi yaliyotikisa Bunge la Katiba
Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha, ni usemi wa zamani wa wahenga wenye maana ya kila jambo lenye mwanzo, lazima litakuwa na mwisho.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6uo89B_tgoA/XrLQgHouTOI/AAAAAAALpTg/1rRzEaV4VxIflCTACOZR_4MK-a9C2xAyACLcBGAsYHQ/s72-c/press%2Bratiba_page-0001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6GgdbSxyZ2s/VZ92s6ZG7ZI/AAAAAAAHodQ/ekg5_Zbh9yw/s72-c/b8.jpg)
JK ALIPOHUTUBIA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6GgdbSxyZ2s/VZ92s6ZG7ZI/AAAAAAAHodQ/ekg5_Zbh9yw/s640/b8.jpg)
![b10](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2015/07/b10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uGeiKiA1pnI/VZ92layAjbI/AAAAAAAHodA/ySEqd22H8NM/s640/b35.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-52VoyTACVxg/VZ92rtcYd_I/AAAAAAAHodM/Uai4ne0xoRg/s640/b41.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania