Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jun
DIRA: Kauli ya Masele kwa Balozi wa Uingereza, Serikali imetia aibu
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
KASHFA YA IPTL
Kafulila aikwepa TAKUKURU
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameshindwa kuwasilisha ushahidi wake kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuhusiana na kashfa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow.
Kafulila aliibua tuhuma hizo huku akiwatuhumu baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali, ambapo mara kadhaa serikali imekuwa ikitoa ufafanuzi kuhusiana na sakata hilo.
Hata hivyo, serikali ilitangaza kukabidhi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kashfa IPTL utata mtupu
WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....
10 years ago
VijimamboMbinu za kuzuia mjadala kashfa IPTL zafichuliwa
Mkanganyiko mkubwa umeibuka mjini hapa kwamba serikali inafanya kila njia kuzuia taarifa ya sakata la IPTL la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kujadiliwa bungeni.
Habari za mkakati huo zilitangazwa jana na wabunge watatu wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Tundu Lissu (Chadema) na Mohamed Habib Mnyaa (Cuf), walipozungumza na waandishi wa habari wakidai kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Kashfa ya IPTL, Uchaguzi Mkuu 2015 vyashusha thamani ya Shilingi
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Serikali ijiondoe na doa hili la mgombea binafsi
10 years ago
Vijimambo21 Nov
IPTL yambabua Pinda
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ziito-Kabwe-November21-2014.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kubanwa na wabunge ambao waliweka pembeni tofauti za vyama vyao vya siasa na kuungana kupinga vikali njama zinazodaiwa kufanywa na Mahakama ya Tanzania za kuingilia uhuru wa Bunge...
10 years ago
TheCitizen07 Nov
I’ll table IPTL report, says Pinda
11 years ago
HabarileoPinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL