Serikali ijiondoe na doa hili la mgombea binafsi
Kwa hakika haileti picha nzuri kuona Serikali inakaa kimya kuhusu utekelezaji wa masuala mbalimbali, tena mengine yakiwa na nguvu za kimahakama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania23 Oct
Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali

Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...
11 years ago
Habarileo25 Sep
Mgombea binafsi 'ruksa’
RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, bungeni jana, imeruhusu kuwepo kwa mgombea binafsi, lakini ikamwekea vizingiti vya utekelezaji wa nia yake.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Utekelezaji wa hukumu ya mgombea binafsi utata
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Suala la mgombea binafsi halina mjadala tena
10 years ago
VijimamboAIBU KUBWA: MGOMBEA URAIS AANGUA KILIO JUKWAANI,ANGALIA TUKIO HILI
Tukio hilo lilitokea katika mkutano wa hadhara wakati akifungua kampeni za chama hicho visiwani hapa.
Mgombea huyo alivuta hisia za wananchi na kila aliyekuwa akipita njia katika eneo hilo la kiwanja cha...
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
ANC yaitaka Afrika Kusini ijiondoe katika ICC
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali ichangie sekta binafsi
11 years ago
Mwananchi20 May
Serikali imetafakari hili la shule za mazoezi?
10 years ago
Habarileo28 Jan
Serikali yazipiga ‘stop’ shule binafsi
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema Serikali itazinyang’anya leseni ya uendeshaji shule binafsi, ambazo zimeweka viwango vyake vya ufaulu kwa wanafunzi wanaosoma kwenye shule hizo, tofauti na viwango vya Serikali.