Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIBU KUBWA: MGOMBEA URAIS AANGUA KILIO JUKWAANI,ANGALIA TUKIO HILI

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha Chauma, Mohammed Masod Rashid, amejikuta akiangua kilio jukwaani na kumpigia magoti Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kumuomba awaachie huru masheikh wa Jumuiya ya Mihadhara ya Dini ya Kiislamu (Uamsho) waliopo gerezani.
Tukio hilo lilitokea katika mkutano wa hadhara wakati akifungua kampeni za chama hicho visiwani hapa. 
Mgombea huyo alivuta hisia za wananchi na kila aliyekuwa akipita njia katika eneo hilo la kiwanja cha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mgombea urais aangua kilio Jukwaani

Mgombea urais wa Zanzibar kwa mwavuli wa CHAUMA, Mohamed Masoud Rashid akipiga magoti akiwa juu ya jukwaa kuashiria unyeyekevu kwa Rais Jakaya Kikwete, akimuomba kuwaachia huru Masheikh wa Uamsho ambao wako gerena kwa muda mrefu. By […]

The post Mgombea urais aangua kilio Jukwaani appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

MGOMBEA MOROGORO AANGUA KILIO KISA KUSHINDWA

Aliyekuwa mgombea udiwani wa Kata ya Chamwino Adrew Boniface akilia. Dustan Shekidele, Morogoro? Adrew Boniface aliyekuwa mgombea udiwani wa Kata ya Chamwino mkoani hapa kupitia Chadema na Mtangazaji wa Kituo cha Radio Planet, amejikuta akitokwa na machozi baada ya kushindwa kwenye uchaguzi uliofanyika hivi karibuni. ...Akiwa mwenye masikitiko. Tukio hilo lilitokea juzi wakati mgombea huyo alipokuwa akizungumza na wananchi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

AK47 Hakuwepo Kushuhudia Tukio Hili Kubwa Kwa Watoto Mapacha Aliowaacha


Watoto mapacha wa Emmannuel Mayanja Hummertone aka AK47 wamebatizwa.
Maggie Kiwesi na AK47 Emmanuel Mayanja walikuwa na watoto watatu wakiwemo mapacha wawili wameletwa kutoka nje ya nchi na kuletwa Uganda kwa ajili ya kubatizwa, Inasikitisha marehemu AK47 hakuwepo kushuhudia tukio hili kubwa kwa watoto wake.Watoto hao wamebatizwa siku “Kaka yake na AK47 Pallaso alipost picha kwenye ukurasa wa instagram picha yake na watoto hao na akaandika chini yake “Guess who got baptized today in the name...

 

10 years ago

Vijimambo

TUKIO ZIMA WAKATI DKT. MAGUFULI ACHAGULIWA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA KUPITIA CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. John Pombe Magufuli, baada ya kutangazwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, katika uchaguzi uliofanyika Jana Julai 11, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. 
Dkt. Magufuli ameibuka mshindi kwa jumla ya kura 2104, wakati wapinzani wake, Balozi Amina Salun Ali akipata kura 253 na Dkt....

 

11 years ago

GPL

WEMA AANGUA KILIO!

Na Shakoor Jongo KITUKO! Beautiful Onyinye, Wema Abraham Sepetu ametoa kioja cha aina yake kwa kuangua kilio baada ya kuambiwa kuwa mbwa wake aliyepotea amepatikana na alipokwenda kumfuata akaambulia patupu. Mbwa wa staa wa filamu Bongo, Wema Abraham Sepetu aliyepotea.
Tukio hilo lililowaacha watu midomo wazi lilitokea juzikati maeneo ya kishua, Masaki jijini Dar, ambapo staa huyo alionekana kukatishwa tamaa kwani alipokuwa...

 

11 years ago

GPL

MAINDA AANGUA KILIO KANISANI

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
OOHHOO! Mwigizaji mkubwa wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ anadaiwa kuangua kilio ‘laivu’ kanisani kisa kubanwa na waandishi wa Global Publishers juu ya madai ya kupora waume za watu na ishu ya kutaka kuolewa na mchungaji hivyo kuzua ‘kitimbwili’ kwenye nyumba hiyo ya Mungu. Mwigizaji mkubwa wa sinema za Kibongo, Ruth Suka...

 

10 years ago

GPL

PENNY AANGUA KILIO BSS

Mtangazaji matata wa Bongo Star Search (BSS 2015), Penniel Mungilwa ‘Penny’. Imelda Mtema MTANGAZAJI matata wa Bongo Star Search (BSS 2015), Penniel Mungilwa ‘Penny’ wiki iliyopita alijikuta akiangua kilio bila aibu baada ya majaji wa shindano hilo kutaja washiriki waliokuwa wakiaga. Akipiga stori Amani, Penny alifafanua sababu ya kushindwa kujizuia kuangua kilio ni kutokana na kwamba mara nyingi...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond aangua kilio ukumbini!

IMG_7514

Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akilia.

Musa mateja

SIYO sinema! Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amejikuta akiangua kilio kama mtoto mdogo na kuwashangaza watu kufuatia mashabiki wake kumtaka awaimbie ‘akapela’ ya wimbo wake mpya wa Utanipenda, twende na Ijumaa Wikienda.

Tukio hilo ambao bado limo midomoni mwa mashabiki wake, lilijiri usiku wa kuamkia Boxing Day (Desemba 26, 2015) ndani ya ‘Uwanja wa Taifa wa Burudani’ Dar Live jijini Dar ambapo nyota huyo alikuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Aangua Kilio Ukumbini!

BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.

Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo washiriki 10 ndiyo walikuwa wakiwania kitita cha shilingi milioni 50.

Mara baada ya mshindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani