Mbinu za kuzuia mjadala kashfa IPTL zafichuliwa
Mkanganyiko mkubwa umeibuka mjini hapa kwamba serikali inafanya kila njia kuzuia taarifa ya sakata la IPTL la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kujadiliwa bungeni.
Habari za mkakati huo zilitangazwa jana na wabunge watatu wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Tundu Lissu (Chadema) na Mohamed Habib Mnyaa (Cuf), walipozungumza na waandishi wa habari wakidai kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
KASHFA YA IPTL
Kafulila aikwepa TAKUKURU
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameshindwa kuwasilisha ushahidi wake kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuhusiana na kashfa ya malipo yaliyofanywa na Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow.
Kafulila aliibua tuhuma hizo huku akiwatuhumu baadhi ya mawaziri na watendaji wa serikali, ambapo mara kadhaa serikali imekuwa ikitoa ufafanuzi kuhusiana na sakata hilo.
Hata hivyo, serikali ilitangaza kukabidhi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kashfa IPTL utata mtupu
WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....
10 years ago
Mtanzania23 Oct
Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Mbinu mpya ya kutibu neti za kuzuia mbu
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Mbinu sita za kuzuia meno kutoboka, kuoza
TUANZE makala yetu na kifungua mada kutoka kwa washkaji wawili wakijadili jambo fulani na kutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Kwenye haya mashindano ya kuharibu afya zao, kinamama na kinababa nani...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Siyantemi aja na mbinu mpya kuzuia uhalifu
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Mbinu mpya ya kuzuia wizi wa mafuta-Nigeria
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Shambuzi la Jaji Warioba ni mbinu ya CCM kuzima mjadala wa Katiba
UKIANZA na uwongo lazima kuendelea kuusema hadi mwisho. Wataalamu husema kwamba “kuulinda uwongo ni gharama kubwa sana.” Mchakato wa katiba haramu ya CCM ulianza na fitina, vitisho na uwongo na...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Kashfa ya IPTL, Uchaguzi Mkuu 2015 vyashusha thamani ya Shilingi