Mbinu mpya ya kutibu neti za kuzuia mbu
Njia mpya ya kutia dawa za kuua mbu kwenye vyandarua imefanikiwa kwa 100% katika kukabili baadhi ya aina za mbu kwa mujibu wa ripoti ya kimataifa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Mbinu mpya ya kudhibiti mbu waenezao malaria
MALARIA ni ugonjwa wa kuambukiza u n a o l e t w a na chembe chembe zinazojulikana kwa jina la kitaalamu plasmodium.
Chembe chembe hizi huingia ndani ya mwili wa binadamu baada ya kuumwa na mbu jike aina ya Anopheles.
Mbu mwenye chembe chembe za plasmodium anapomuuma mtu, humuingizia baadhi ya mate yenye viini vya
kuambukiza kwenye kidonda, hivyo kusambaza malaria.
Viini hivi husafiri hadi katika maini ambapo hukaa hadi vifikie ukomavu.
Kuna aina 4 za malaria, ambazo ni P. vivax, P....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSknG*qc9b*6SzjICtur1AHZ0mdQhum3pFh8jvCkXIozCqUrqiQPermg-PLvc3nibObtWJX7mHiF77PerBQTpDh9/julianadidone3.jpg)
SHOGA, MBU UNAMWEKEA NETI, UTAMU UNAENDA KAVU!
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Siyantemi aja na mbinu mpya kuzuia uhalifu
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Mbinu mpya ya kuzuia wizi wa mafuta-Nigeria
11 years ago
Mwananchi26 May
‘Mafuta ya kuzuia mbu ni hatari’
11 years ago
Mwananchi22 May
Dawa ya kupaka kuzuia mbu sasa yaadimika Dar
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Mbinu sita za kuzuia meno kutoboka, kuoza
TUANZE makala yetu na kifungua mada kutoka kwa washkaji wawili wakijadili jambo fulani na kutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Kwenye haya mashindano ya kuharibu afya zao, kinamama na kinababa nani...
10 years ago
VijimamboMbinu za kuzuia mjadala kashfa IPTL zafichuliwa
Mkanganyiko mkubwa umeibuka mjini hapa kwamba serikali inafanya kila njia kuzuia taarifa ya sakata la IPTL la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kujadiliwa bungeni.
Habari za mkakati huo zilitangazwa jana na wabunge watatu wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Tundu Lissu (Chadema) na Mohamed Habib Mnyaa (Cuf), walipozungumza na waandishi wa habari wakidai kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Wanasayansi wabaini njia mpya ya kutibu Ukimwi