Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya kupaka kuzuia mbu sasa yaadimika Dar

Katika harakati za kukabiliana na mbu wanaosambaza homa ya dengue, wakazi wa Dar es Salaam na vitongoji vyake sasa wamezigeuza dawa za kupaka za mbu (mosquito repellent) kuwa mkombozi wao na kusababisha biashara ya dawa hizo kushamiri kwa kasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya kupaka ili kuzuia HIV haifai

Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,utafiti umesema

 

11 years ago

Habarileo

Mabasi, hoteli zote Dar kupuliziwa dawa ya mbu

MKOA wa Dar es Salaam umeagiza kupulizia dawa za kuua mazalio ya mbu katika mabasi yanayoenda nje ya Dar es Salaam, katika hoteli, shule na vyuo, masoko na majengo yote ya taasisi za serikali na binafsi ili kupambana na ugonjwa wa dengue.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mafuta ya kuzuia mbu ni hatari’

Wataalamu wa afya wameonya kuhusu matumizi holela ya mafuta yanayopakwa mwilini kama dawa za kuzuia mbu, kwa kuwa zinaweza kuwa na madhara kwa baadhi ya watumiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbinu mpya ya kutibu neti za kuzuia mbu

Njia mpya ya kutia dawa za kuua mbu kwenye vyandarua imefanikiwa kwa 100% katika kukabili baadhi ya aina za mbu kwa mujibu wa ripoti ya kimataifa

 

10 years ago

Mwananchi

NDC kuzalisha dawa za kuua mbu

Kiwanda cha kutengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu cha Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kilichopo Kibaha, mkoani Pwani, kitaanza kazi ya uzalishaji wa dawa za kuua mbu na mazalia yake mwishoni mwa mwaka huu. Imeelezwa kuwa lengo la ujenzi wa kiwanda hicho ni kutaka kupambana na ugonjwa wa malaria.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ujangili ni kuzuia nyara kuingia sokoni

Mwaka 2013, uwindaji halali uliingizia Tanzania wastani wa Sh900 bilioni, ikiwa ni zaidi ya asilimia 90 ya mapato ya sekta ya utalii yaliyotokana na wanyamapori.

 

10 years ago

Michuzi

DAWA ZA KUZUIA KUYUMBA KWA NDOA ZAWEKWA WAZI.

 Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la kukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya Kuingia Ndani ya Ukumbi  huo ili kujadili Kauli Mbiu ya Ndoa Chanzo Cha Utu wetu Jana 14.06.2015.  Baadhi ya wataalamu wa Kiislam wakimsilizi kwa Makini Dr Ahmad Totonji Kutoka Suadi Arabia alipokuwa akiwakilisha Mada ya Taasisi ya Ndoa, Jana, leo na Kesho Katika Kongamano la Kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Dr....

 

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dawa za dharura kuzuia mimba na mipira ya kiume yapungua Uingereza

Kanuni ya kutotoka nje imesababisha kupungua kwa mauzo ya vidonge vya kuzuia mimba ambazo hutumika mara tu baada ya kujamiiana maarufu P2, utafiti umeonesha.

 

10 years ago

Habarileo

Maziwa ya watoto yaadimika

Maziwa ya LactojenFAMILIA zinazotumia maziwa ya kopo ya Lactogen, ambayo yamesajiliwa hapa nchini kwa ajili ya kutumiwa na watoto wachanga, zina hali ngumu baada ya kuadimika, huku ikielezwa kuwa yatazidi kupotea kwa zaidi ya miezi miwili ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani