Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWA ZA KUZUIA KUYUMBA KWA NDOA ZAWEKWA WAZI.

 Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la kukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya Kuingia Ndani ya Ukumbi  huo ili kujadili Kauli Mbiu ya Ndoa Chanzo Cha Utu wetu Jana 14.06.2015.  Baadhi ya wataalamu wa Kiislam wakimsilizi kwa Makini Dr Ahmad Totonji Kutoka Suadi Arabia alipokuwa akiwakilisha Mada ya Taasisi ya Ndoa, Jana, leo na Kesho Katika Kongamano la Kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Dr....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Kuyumba kwa ndoa kunavuruga maadili’

MIGOGORO ya mara kwa mara na kuyumba kwa ndoa nyingi, kumetajwa kama sababu kubwa inayochangia kuporomoka kwa maadili nchini, hali inayochangia kuongezeka kwa matukio yanayomchukiza Mungu.

 

10 years ago

GPL

SIRI NDOA YA THEA, MIKE KUYUMBA YAVUJA

Na Waandishi Wetu
IMEFICHUKA! Ile ndoa ya wasanii wa filamu za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ na Michael Sangu ‘Mike’ ambayo imekuwa ikiyumba mara kwa mara chanzo kimedaiwa kilianzia kwenye ufungaji wake.Sosi wetu makini aliyeomba hifadhi ya jina lake alitutonya kuwa, ndoa ya mastaa hao ni ya mseto kwani hakuna aliyekuwa tayari kufuata imani ya mwenzake jambo lililowashangaza wengi. Salome Urassa...

 

9 years ago

Mwananchi

China na kuyumba kwa uchumi wa dunia

Agosti 24, mwaka huu, siku ya Jumatatu, soko la hisa la Shanghai liliporomoka kwa asilimia 8.5. Kuanguka kwa soko la hisa la China kulisababisha masoko mengine ya hisa ya Asia, Ulaya, Marekani ya Kaskazini, Marekani ya Kusini na Afrika ya Kusini nayo yaporomoke.

 

11 years ago

Habarileo

Sakata la kura ya siri, wazi lapatiwa dawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaBAADA ya mvutano kuhusu aina ya kura itakayotumika kupitisha vifungu vya rasimu ya Katiba, hatimaye Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ametangaza kutumika kwa njia ya maridhiano kumaliza utata.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ujangili ni kuzuia nyara kuingia sokoni

Mwaka 2013, uwindaji halali uliingizia Tanzania wastani wa Sh900 bilioni, ikiwa ni zaidi ya asilimia 90 ya mapato ya sekta ya utalii yaliyotokana na wanyamapori.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya kupaka ili kuzuia HIV haifai

Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,utafiti umesema

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa ya kupaka kuzuia mbu sasa yaadimika Dar

Katika harakati za kukabiliana na mbu wanaosambaza homa ya dengue, wakazi wa Dar es Salaam na vitongoji vyake sasa wamezigeuza dawa za kupaka za mbu (mosquito repellent) kuwa mkombozi wao na kusababisha biashara ya dawa hizo kushamiri kwa kasi.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Aweka Wazi Jinsi Anavyompenda Mke Wake na Kuithamini Ndoa Yake

Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za hapa bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka ya moyoni  juu ya upendo wake kwa mke wake na kuendelea kudumisha ndoa yao.

JB tofauti na mastaa wengi wa hapa bongo, amemuweka na kumwambia waziwazi mke wake wa ndoa maneno  ya upendo ambayo huwafanya mashabiki wake wote kkujua na kumtambua shemeji yao au wifi yao.

JB leo hii ameweka picha hiyo mtandaoni akiwa na mke wake na kuandika maneno haya;

“Mke wangu,rafiki yangu, nampenda sanaa. Siku kama ya leo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dawa za dharura kuzuia mimba na mipira ya kiume yapungua Uingereza

Kanuni ya kutotoka nje imesababisha kupungua kwa mauzo ya vidonge vya kuzuia mimba ambazo hutumika mara tu baada ya kujamiiana maarufu P2, utafiti umeonesha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani