Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China na kuyumba kwa uchumi wa dunia

Agosti 24, mwaka huu, siku ya Jumatatu, soko la hisa la Shanghai liliporomoka kwa asilimia 8.5. Kuanguka kwa soko la hisa la China kulisababisha masoko mengine ya hisa ya Asia, Ulaya, Marekani ya Kaskazini, Marekani ya Kusini na Afrika ya Kusini nayo yaporomoke.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ufaransa yakanusha uchumi wake kuyumba

Ufaransa imekanusha taarifa za kuyumba kwa uchumi wao na kusisitiza kuwa bado uko imara katika maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za Mkoa wa Mbeya kuyumba uchumi wake

Wakati Mkoa wa Mbeya ukitajwa kuwa moja ya mikoa inayozalisha chakula kwa wingi, zipo habari kwamba unaporomoka kwa kasi kiuchumi.

 

10 years ago

Habarileo

‘Kuyumba kwa ndoa kunavuruga maadili’

MIGOGORO ya mara kwa mara na kuyumba kwa ndoa nyingi, kumetajwa kama sababu kubwa inayochangia kuporomoka kwa maadili nchini, hali inayochangia kuongezeka kwa matukio yanayomchukiza Mungu.

 

9 years ago

Michuzi

Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya


 Washatkiwa  wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Msangi akiwa na maafisa wake pamoj na Pembe za Faru walizokamatwa nazo  rai wanne wa China katika mpaka wa Kasumulu wilayani  Kyela mkoani Mbeya.Raia wanne wa China ambao wamehukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya...

 

10 years ago

Michuzi

DAWA ZA KUZUIA KUYUMBA KWA NDOA ZAWEKWA WAZI.

 Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la kukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya Kuingia Ndani ya Ukumbi  huo ili kujadili Kauli Mbiu ya Ndoa Chanzo Cha Utu wetu Jana 14.06.2015.  Baadhi ya wataalamu wa Kiislam wakimsilizi kwa Makini Dr Ahmad Totonji Kutoka Suadi Arabia alipokuwa akiwakilisha Mada ya Taasisi ya Ndoa, Jana, leo na Kesho Katika Kongamano la Kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Dr....

 

9 years ago

Dewji Blog

Raia wanne wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la kuhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya

Watuhumiwa wakifikishwa mahakamani. Pembe za Faru walizo kamatwa nazo watuhumiwa hao wanne rai wa China katika mpaka wa Kasumulu Kyela.

Na Ezekiel Kamanga, Mbeya.Jamiimojablog

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China na kulipa faini  baada ya kukutwa na hatia kwa makosa matatu ikiwemo uhujumu uchumi kwa kukutwa na pembe za faru.

Kabla ya kuanza kusoma hukumu Hakimu mfawidhi Michael Mteite alianza kuwashukuru Mawakili wa Serikali na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania

DSCI0119

Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...

 

9 years ago

BBCSwahili

China yaimarisha Uchumi wake

Uchumi wa Uchina umeimamarika kwa asilimia 6.9 katika robo ya tatu ya mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa China waanza kushuka

Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani