Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania
Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TANZANIA WAKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA BENKI YA DUNIA KWA TANZANIA,RWANDA,UGANDA NA BURUNDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y01L3OHtlxA/VbMv4Kx0SsI/AAAAAAAHrk8/u9s2GfgkZsQ/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete aagana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y01L3OHtlxA/VbMv4Kx0SsI/AAAAAAAHrk8/u9s2GfgkZsQ/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_YUr4ktnuQM/VbMv4bCJ7VI/AAAAAAAHrlA/f7N3q-gGmd8/s1600/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l8OxnkeTWjk/VQKKZMbvnFI/AAAAAAAHJ_E/D0kjx7GGl50/s72-c/Untitled.png)
UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KUHUSU STADI NA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-l8OxnkeTWjk/VQKKZMbvnFI/AAAAAAAHJ_E/D0kjx7GGl50/s1600/Untitled.png)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA BENKI YA DUNIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GrgsMUWVNB4/UvjBuH4z65I/AAAAAAAFMLE/fpdVIawxr2E/s72-c/unnamed+(29).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MH. MATHIAS CHIKAWE AKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UNHCR TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-GrgsMUWVNB4/UvjBuH4z65I/AAAAAAAFMLE/fpdVIawxr2E/s1600/unnamed+(29).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s72-c/800x800_5304470ddd432.jpg)
TAARIFA YA KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s200/800x800_5304470ddd432.jpg)
Kibali cha kuungana kutoka kwa mamlaka husika tayari vimeshapokelewa
Benki ya NIC Bank Tanzania Limited (NIC) na benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited (CBA) imeshapokea vibali vyote kuungana na kuanza kutoa huduma kuanzia tarehe 8 mwezi Julai mwaka 2020 kama benki ya NCBA Bank Tanzania Limited.
Uunganaji utafanyika kwa...
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Mkazi wa Kinondoni awa mmliki mpya wa Uchumi Supermarkets Tanzania
Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi SuperMarket (Afrika mashariki), Jonathan Ciano (kulia) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik katika ufunguzi wa Tawi jipya la Uchumi lililoko Mbezi Kawe karibu na ukumbi wa Rainbow-Mbezi chini jijini Dar es Salaam.
Maduka makubwa yanayoongoza Tanzania ya “Uchumi supermarks” leo yameendesha droo ya mwisho ya kampeni yao ijulikanayo kama “Mimi Mwanahisa promosheni” iliyofanyika katika tawi lake jipya la Mbezi-Kawe.
Hafla hiyo ilishuhudiwa na...
10 years ago
Michuzi18 Nov
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)