Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya kupaka ili kuzuia HIV haifai

Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,utafiti umesema

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dawa ya kupaka kuzuia mbu sasa yaadimika Dar

Katika harakati za kukabiliana na mbu wanaosambaza homa ya dengue, wakazi wa Dar es Salaam na vitongoji vyake sasa wamezigeuza dawa za kupaka za mbu (mosquito repellent) kuwa mkombozi wao na kusababisha biashara ya dawa hizo kushamiri kwa kasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya Lariam haifai kutumiwa jeshini

Wito umetolewa wa kutaka kusitisha matumizi ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa malaria katika jeshi la Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Dawa ya HIV yaponya Saratani?

Dawa ambayo kwa kawaida hutumika kupunguza makali ya virusi vya HIV, imegunduliwa kuwa ina uwezo wa kutibu Saratani ya kizazi

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi hivi

Hatua baada ya hatua ya unachohitajika kufanya ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wasio na HIV watakiwa kutumia dawa

Shirika la afya duniani, limewaasa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, kutumia dawa za kupunguza makali ya HIV hata ikiwa hawana HIV.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ujangili ni kuzuia nyara kuingia sokoni

Mwaka 2013, uwindaji halali uliingizia Tanzania wastani wa Sh900 bilioni, ikiwa ni zaidi ya asilimia 90 ya mapato ya sekta ya utalii yaliyotokana na wanyamapori.

 

10 years ago

Michuzi

DAWA ZA KUZUIA KUYUMBA KWA NDOA ZAWEKWA WAZI.

 Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la kukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya Kuingia Ndani ya Ukumbi  huo ili kujadili Kauli Mbiu ya Ndoa Chanzo Cha Utu wetu Jana 14.06.2015.  Baadhi ya wataalamu wa Kiislam wakimsilizi kwa Makini Dr Ahmad Totonji Kutoka Suadi Arabia alipokuwa akiwakilisha Mada ya Taasisi ya Ndoa, Jana, leo na Kesho Katika Kongamano la Kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Dr....

 

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dawa za dharura kuzuia mimba na mipira ya kiume yapungua Uingereza

Kanuni ya kutotoka nje imesababisha kupungua kwa mauzo ya vidonge vya kuzuia mimba ambazo hutumika mara tu baada ya kujamiiana maarufu P2, utafiti umeonesha.

 

10 years ago

Dewji Blog

Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete

9151

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).

258

Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).

Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia

Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani