Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya ujangili ni kuzuia nyara kuingia sokoni

Mwaka 2013, uwindaji halali uliingizia Tanzania wastani wa Sh900 bilioni, ikiwa ni zaidi ya asilimia 90 ya mapato ya sekta ya utalii yaliyotokana na wanyamapori.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola

Watu wengi walikuwa hawaijui dawa hii iliyokuwa katika hatua za majaribio hadi pale wafanyakazi wawili wa mashirika ya afya ya kimataifa, raia wa Marekani walipoambukizwa ebola wakati wakiwasaidia waathirika wa ugonjwa huo katika nchi za Afrika Magharibi.

 

5 years ago

Michuzi

RC KAGERA AWATAKA WANUNUZI WA KAHAWA KUINGIA SOKONI

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akisisitiza jambo wakati akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Kahawa Ofisini kwake Mjini Bukoba, leo tarehe 4 Juni 2020. Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Kahawa Tanzania Prof Jamal Adam akiteta jambo na Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

GPL

MUVI MPYA YA PISHU KUINGIA SOKONI KESHO

MUVI mpya ya Pishu kutoka Kajala Intertaiment & Baby Black Productions itakuwa sokoni kesho usikose kujipatia nakala yako kwani ndani yake utakutana mastaa wakali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja, Hemedy Phd, Tausi, Senga na wengine kibao. Kajala akiongea na mtandao huu amewaomba mashabiki wake na wapenzi wa filamu za Kibongo kutoikosa muvi hiyo itapatikana sehemu zote Tanzania kuanzia kesho. ...

 

10 years ago

GPL

FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO

Aisha Bui akiwa na Gabo katika moja ya scene... AISHA Fathi ‘Aisha Bui’ anafunguka kwa kutamba kuwa filamu yake mpya inayoingia sokoni siku ya jumatatu, itadhihiri kipaji chake katika tasnia ya filamu, kwani amewakilisha wazo lake moja kwa moja bila kupigwa alichoandika ingekuwa ni kazi ya kushirikishwa isingekuwa rahisi. Aisha… ...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO JUMATATU

 AISHA Fathi ‘Aisha Bui’ anafunguka kwa kutamba kuwa filamu yake mpya inayoingia sokoni leo, itadhihirisha  kipaji chake katika tasnia ya filamu, kwani amewakilisha wazo lake moja kwa moja bila kupigwa alichoandika. Ingekuwa ni kazi ya kushirikishwa isingekuwa rahisi.“Najua kila mtu anakuwa na uwezo wake katika filamu lakini unaweza kushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kukosa nafasi ndio maana mimi nimeamua kutumia kampuni yangu kutimiza ndoto zangu. Wiki hii Yuneda Entertainment...

 

10 years ago

GPL

FILAMU YA MAPENZI YA MUNGU KUINGIA SOKONI WIKI HII



Mwezi, Wiki na Sasa siku zimebaki kwa ile Filamu Mpya na ya Kusisimua ya MAPENZI YA MUNGU Kuingia Sokoni ambayo imewakutanisha wasanii mahiri wa hapa hapa Tanzania ambapo Mmoja kati ya Wasanii waliocheza filamu hiyo Ni Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya anayejulikana kama Linah Sanga, kwa Kushirikiana na Elizabeth Michael bila Kumsahau Flora Mtegoha ambae ni Mama Mzazi wa Marehemu Steven Kanumba watakuwa ndani ya filamu Mpya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Filamu ya "Mateso Yangu Ughaibuni” Kuingia Sokoni

Baada ya kutokea figisufigisu kwa muda sasa kati ya baadhi ya waigizaji na muaandaaji, hatimaye filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni itaingia sokoni hivi karibuni. Na hili ndio bandiko lililobandikwa mtandaoni na Didas Entertainment ambao ndio watengenezaji wa filamu hiyo.

“Shukrani kwanza ziende kwa Muumba pili kwa mama yangu mzazi. Kila jambo lenye kheri ukilifanyia subira huwa lina zaa kheri kubwa. Baada ya kushindwana Bei na ma distributors wa bongo, Kampuni moja ya waghana wameamua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani