Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya Lariam haifai kutumiwa jeshini

Wito umetolewa wa kutaka kusitisha matumizi ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa malaria katika jeshi la Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya kupaka ili kuzuia HIV haifai

Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,utafiti umesema

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mipasho haifai muziki wa Injili

STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki  umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya  kwa upande mwingine yamekuwa sababu ya changamoto...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK: Fimbo ya kutunyima misaada haifai

2mnn

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam  Mei 20, 2015.(Picha na IKULU).

116

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe mahusiano kati ya Tanzania na wabia wa maendeleo hayawezi kutawaliwa na vitisho vya wabia hao wa maendeleo kuikatia Tanzania misaada kwa sababu yoyote ile.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malik:Serikali ya umoja haifai Iraq

Waziri mkuu nchin Iraq Nouri al Malik ameonya kwamba serikali ya umoja nchini humo ni mapinduzi dhidi ya katiba ya taifa hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yakiri sheria ya ndoa ya 1971 haifai

DSC_0104

Mgeni Rasmi katika utambulisho wa kampeni ya kitaifa kupinga ndoa za utotoni (National Ending Child Marriage Campaign), Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Anna Maembe,  akizungumza na waandishi wa habari umuhimu wa kufanyia marekebisho sheria ya ndoa ya mwaka 1971.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

.Wadau watambulisha kampeni ya kupambana tatizo la ndoa za utotoni

Na Mwandishi Wetu, MOblog Tanzania

SERIKALI ya Tanzania imekiri kwamba Sheria ya Ndoa ya 1971 ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:Palestina haifai kuwa mwanachama ICC

Marekani imesema kuwa imetamaushwa na hatua ya viongozi wa Palestina ya kutaka kujiunga na mahakama ya ICC

 

11 years ago

BBCSwahili

MSF:Kambi ya Bentiu Sudan Kusini haifai

MSF yasema takriban wakimbizi elfu arubaini wanaishi katika mazingira mabaya ndani ya kambi ya umoja wa mataifa Sudan Kusini.

 

10 years ago

Raia Mwema

Biashara hii ya kura haifai kuitwa uchaguzi

KWA mara nyingine tena, tumeingia katika msimu wa uchaguzi, ambao utaendelea hadi mwishoni mwa mw

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Habarileo

‘Vijana kataeni kutumiwa na wanasiasa’

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tabora mjini, Moshi Nkonkota ameshauri vijana kujitambua na kutokukubali kutumika kama daraja na wanasiasa wabinafsi katika kutafutia uongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani