Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Fimbo ya kutunyima misaada haifai

2mnn

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam  Mei 20, 2015.(Picha na IKULU).

116

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe mahusiano kati ya Tanzania na wabia wa maendeleo hayawezi kutawaliwa na vitisho vya wabia hao wa maendeleo kuikatia Tanzania misaada kwa sababu yoyote ile.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Fimbo ya Lowassa: Wajumbe 32 kumkabili

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza Kamati ya Kampeni yenye wajumbe 32, wengi wao wakiwa ni wale waliowahi kuvaana na mgombea wa Chadema, Edward Lowassa katika masuala tofauti.

 

10 years ago

Vijimambo

NesiWangu: FIMBO YA KISASA YA KUTEMBELEA



BOFYA

NesiWangu: FIMBO YA KISASA YA KUTEMBELEA: Fimbo yaweza tumika na wazee au watu wa umri wowote wenye uhitaji  wa kuimarisha msingi kabla ya kupiga hatua ili kupunguza  atari za k...


 

11 years ago

Tanzania Daima

Mipasho haifai muziki wa Injili

STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki  umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya  kwa upande mwingine yamekuwa sababu ya changamoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba aua mtoto kwa fimbo

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti mkoani hapa likiwemo la mtoto Irene Mbembela (7), mkazi wa Sogea-Tunduma, wilayani Momba, kuuawa kwa kupigwa fimbo na baba yake mzazi. Irene ambaye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malik:Serikali ya umoja haifai Iraq

Waziri mkuu nchin Iraq Nouri al Malik ameonya kwamba serikali ya umoja nchini humo ni mapinduzi dhidi ya katiba ya taifa hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Dawa ya Lariam haifai kutumiwa jeshini

Wito umetolewa wa kutaka kusitisha matumizi ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa malaria katika jeshi la Uingereza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu wa fimbo nyeupe kwa wasioona

BADO watu wenye ulemavu mbalimbali wakiwemo wasioona, wanakabiliwa na changamoto mbalimbali katika maisha yao kila siku. Walemavu wasioona hulazimika kutembea na wasaidizi wao katika kufanisha majukumu yao mbalimbali. Licha ya...

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mama yake kwa fimbo

WATU wawili kutoka vijiji tofauti wilayani Rorya wanashikiliwa na polisi mmoja akituhumiwa kumuua mama yake mzazi kwa kumpiga na fimbo na mwingine kwa kumuunguza viganja binti yake akimtuhumu kuiba fedha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya kupaka ili kuzuia HIV haifai

Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,utafiti umesema

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani