Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashoga wasio na HIV watakiwa kutumia dawa

Shirika la afya duniani, limewaasa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, kutumia dawa za kupunguza makali ya HIV hata ikiwa hawana HIV.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wanasayansi watengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya HIV, Hepatitis na mafua

Wanasayansi wametengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya aina mbalimbali vikiwemo vya HIV, Hepatitis na mafua. Inatumainiwa kuwa dawa hivyo mpya inaweza kuwa na muhimu katika kupambana na virusi vingi hatari. Dawa hiyo iligundulika miaka mitano iliyopita na kuaminika kuwa tiba ya virusi vya HIV lakini ilisababisha madhara ambayo wanasayansi sasa wamekabiliana nayo. Dawa […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama NHIF watakiwa kutumia maduka ya dawa

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewataka wanachama wake kupata huduma za dawa katika maduka yaliyosajiliwa na mfuko huo pindi wanapozikosa kwenye hospitali au vituo vya afya. NHIF...

 

11 years ago

BBCSwahili

Dawa ya HIV yaponya Saratani?

Dawa ambayo kwa kawaida hutumika kupunguza makali ya virusi vya HIV, imegunduliwa kuwa ina uwezo wa kutibu Saratani ya kizazi

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya kupaka ili kuzuia HIV haifai

Dawa iliokisiwa kupunguza uwezekano wa mwanamke kupata virusi vya HIV wakati wa tendo la ngono haifai,utafiti umesema

 

11 years ago

Habarileo

Pemba watakiwa kutumia vyandarua

WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuendelea kutumia vyandarua, kama njia pekee ya kupambana na malaria na kupunguza vifo vya akinamama na watoto.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji watakiwa kutumia NSSF

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele amewataka wachimbaji wadogo kutumia vizuri fursa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kukopa mitaji ili kununua mitambo kuhakikisha wanamiliki uchumi wa nchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mnaigeria agundulika kutumia dawa

Mnaigeria Chika Amalaha amesimamishwa kwa muda michezo ya Jumuiya ya Madola..

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO:Ni sawa kutumia dawa za 'Zmapp'

Dawa ambazo bado zinafanyiwa majaribio zinaweza kutumiwa kuwatibu wagonjwa wa Ebola.

 

9 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara Mbeya watakiwa kutumia benki

WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya wamehimizwa kuacha tabia ya kuhifadhi mamilioni ya fedha majumbani na kwenye maduka yao na badala yake watumie benki zilizopo kuhifadhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani