Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pemba watakiwa kutumia vyandarua

WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuendelea kutumia vyandarua, kama njia pekee ya kupambana na malaria na kupunguza vifo vya akinamama na watoto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya mambo ya nje yakabidhi msaada wa vyandarua hospitali 8 za Pemba na Unguja

DSC_0364

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa  Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.

DSC_0366

Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea  msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa  Unguja na Pemba.

DSC_0373

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA TANZANIA WAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA KWA AJILI YA HOSPITALI NANE ZINAZOLAZA WAGONJWA UNGUJA NA PEMBA.

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa  Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya malaria  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja. Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea  msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa  Unguja na Pemba.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...

 

11 years ago

Habarileo

Pemba watakiwa kuenzi Muungano

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Juma Kassim TindwaWANANCHI wa Pemba wametakiwa kuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaotimiza umri wa miaka 50 kesho; ukitajwa kuwa umesaidia kuimarisha miradi ya uchumi na maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji watakiwa kutumia NSSF

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele amewataka wachimbaji wadogo kutumia vizuri fursa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kukopa mitaji ili kununua mitambo kuhakikisha wanamiliki uchumi wa nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri

MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala

MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanasayansi watakiwa kutumia ujuzi kibiashara

Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) na Chuo cha Fizikia cha Uingereza, wameanzisha mpango wa kuwawezesha wanasayansi na wahandisi katika nchi za Afrika Mashariki, kutumia ujuzi wao kibiashara.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima watakiwa kutumia zana za kuvunia

Wakulima wa mpunga, ngano, chai na mazao mengine wametakiwa kutumia zana za kisasa wakati wa uvunaji badala ya mikono, ili kulinda ubora wa mazao na kuepuka kuyaharibu.

 

9 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara Mbeya watakiwa kutumia benki

WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya wamehimizwa kuacha tabia ya kuhifadhi mamilioni ya fedha majumbani na kwenye maduka yao na badala yake watumie benki zilizopo kuhifadhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani