Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasayansi watakiwa kutumia ujuzi kibiashara

Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) na Chuo cha Fizikia cha Uingereza, wameanzisha mpango wa kuwawezesha wanasayansi na wahandisi katika nchi za Afrika Mashariki, kutumia ujuzi wao kibiashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUTUMIA UJUZI WA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KUJIKWAMUA KIUCHUMI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akieleza jambo alipokuwa akikagua kitalu nyumba kilichopo Nangara, Mkoani Babati. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Manyara Bi. Elizabeth Kitundu.

Baadhi ya vijana wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipowatembelea vijana hao kukagua maendeleo ya mafunzo...

 

10 years ago

Michuzi

Wastaafu watakiwa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu

Katibu wa Jumuiya ya Wafanyakazi wastaafu Pemba Bwana Majid Moh’d akimkabidhi risala Mkamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwenye hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya hiyo hapo ukumbi wa Tasaf Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Chake chake Pemba. Baadhi ya Wajumbne wa Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu Pemba akifutilia Hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani wakati akiizindua rasmi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif...

 

5 years ago

Mwananchi

Wanasayansi wachanga watakiwa kuandaliwa

Wakati Serikali ya awamu ya tano ikiweka mkazo  kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda wadau wameshauri nguvu hiyo pia itumike kuwaandaa wanasayansi wachanga.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela washauriwa kutumia ujuzi kujiajiri

 Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wa pili kulia akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyela Dr. Festo Dugange jana wakati wa ziara ya kuhamasisha vijana wa Kyela. Wa kwanza kulia ni Afisa Maendeleo ya Vijana Bi. Amina Sanga, wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele na wa pili kushoto ni Afisa Vijana Mkoa wa Mbeya Bw. George Mbijima. Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...

 

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kutumia fursa za mikutano kutengeneza mitandao ya kibiashara

Ulishawahi kwenda kwenye semina, warsha au mikutano ya wafanyabiashara? Kwenye matukio kama hayo kuna nyakati zinatokea za mapumziko au muda kabla ya kuanza. Wewe kama mfanyabiashara unapaswa kutumia kikamilifu fursa hizi ili kutanua mtandao wa biashara yako. Hii ni nafasi, hupaswi kuipoteza.

 

10 years ago

Mwananchi

Sadc watakiwa kuondoa vikwazo vya kibiashara

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo (Sadc) zimetakiwa kuondolewa kanuni na vikwazo vinavyokwamisha biashara baina ya nchi hizo.

 

10 years ago

Bongo5

Umemaliza chuo na kujiajiri kutumia ujuzi ulioupata? Wasiliana nasi, tutakupa shout outs kwenye website

Kila mwaka vyuo vikuu na vyuo vingine nchini vinazalisha wahitimu wengi katika fani mbalimbali ambao baada ya kumaliza wanakumbana na changamoto kubwa ya kupata ajira. Kwakuwa ajira ni chache, vijana wengine wamejikuta wakihangaika kutafuta kazi bila mafanikio. Hata hivyo vijana hao wana uwezo wa kukaa chini na kufikiria miradi yao wenyewe ambayo inaweza kuwaingizia kipato […]

 

9 years ago

Bongo5

Wanasayansi watengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya HIV, Hepatitis na mafua

Wanasayansi wametengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya aina mbalimbali vikiwemo vya HIV, Hepatitis na mafua. Inatumainiwa kuwa dawa hivyo mpya inaweza kuwa na muhimu katika kupambana na virusi vingi hatari. Dawa hiyo iligundulika miaka mitano iliyopita na kuaminika kuwa tiba ya virusi vya HIV lakini ilisababisha madhara ambayo wanasayansi sasa wamekabiliana nayo. Dawa […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Watanzania waishio nchini Japan, awaasa kurejea nyumbani kutumia ujuzi walioupata kukuza uchumi wa nchi

01

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na watanzania waishio nchini Japan, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya The New Otani, wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi nchini humo, jana Mei 21, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona. (Picha na OMR).

02

1

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Japan (Tanzanite Society)  David Semiono, akisoma risala ya Jumuiya yao wakati wa hafla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani