Wanasayansi watengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya HIV, Hepatitis na mafua
Wanasayansi wametengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya aina mbalimbali vikiwemo vya HIV, Hepatitis na mafua. Inatumainiwa kuwa dawa hivyo mpya inaweza kuwa na muhimu katika kupambana na virusi vingi hatari. Dawa hiyo iligundulika miaka mitano iliyopita na kuaminika kuwa tiba ya virusi vya HIV lakini ilisababisha madhara ambayo wanasayansi sasa wamekabiliana nayo. Dawa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amesema mkoa huo utaanza rasmi kesho zoezi la kupuliza dawa ya kuua vijidudu na kudhibiti kuenea kwa Virusi vya Corona katika maeneo mbalimbali ya Jiji hilo ambapo amewataka wananchi wasiwe na hofu pindi wanapoona magari yanapita mitaani kupuliza dawa.
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi waelezea chanzo cha virusi hivyo
Mlipuko wa virusi vya corona ambao umewawacha zaidi ya watu milioni moja wakiwa wameambukizwa na wengine 60,000 wakiwa wamefariki umebadilisha ulimwengu ulivyokuwa.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mashoga wasio na HIV watakiwa kutumia dawa
Shirika la afya duniani, limewaasa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, kutumia dawa za kupunguza makali ya HIV hata ikiwa hawana HIV.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Kubadilika umbo kwa virusi vya corona: Fumbo kwa wanasayansi juu ya athari za virusi
Utafiti umetambua kuwa kubadilika kwa hali na umbile la virusi vya corona mbako wanasema kunaweza kusababisha virusi vya corona kuwa vya maambukizi zaidi.
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Virusi vya corona: Je wanasayansi wamebaini nini?
Licha ya juhudi kuendelezwa hata katika ngazi ya kimataifa, virusi vya corona bado vinaendelea kusababisha vifo vya maelfu ya watu kila siku.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Wanasayansi wanasema teknolojia ya mawasiliano ya 5G haina uhusiano na virusi vya corona
Madai yaliyoenea kuwa 5G inauhusiano na virusi vya corona yanasisitizwa na wanasayansi kuwa si ya kweli, kama anavyokuelezea Mwandishi wa BBC Sammy Awami...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Marekani yaidhinisha matumizi ya dawa ya virusi ya Remdesivir
Mamlaka ya dawa na chakula nchini Marekani (FDA) imetoa ruhusa ya dharura ya dawa ya Ebola inayofahamika ama 'remdesivir' kutumika kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir
Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania