Wanasayansi wachanga watakiwa kuandaliwa
Wakati Serikali ya awamu ya tano ikiweka mkazo kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda wadau wameshauri nguvu hiyo pia itumike kuwaandaa wanasayansi wachanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkX41KdpSJ84b0DKfvgH2KdN2NPz9fx5mgqADATk*LwR3No4M9CqjyviwHJGzn3qj6elbCBWVf1ba31l78xvowE/h1.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI UTOAJI TUZO WA WANASAYANSI WACHANGA WA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LI04JJX7b_s/U-3R4wet3-I/AAAAAAAF_xo/YGV34RnUPpw/s72-c/unnamed2..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI UTOAJI TUZO WA WANASAYANSI WACHANGA WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LI04JJX7b_s/U-3R4wet3-I/AAAAAAAF_xo/YGV34RnUPpw/s1600/unnamed2..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g_s1J61PeeM/U-3R5Ah1eXI/AAAAAAAF_x0/NmgZkw3Cf-I/s1600/unnamed2.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Wanasayansi watakiwa kutumia ujuzi kibiashara
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Wakulima waanza kuandaliwa hatimiliki
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema hatimiliki za mashamba kwa ajili ya wakulima wadogo zimeanza kuandaliwa kwa lengo la kuwawezesha kupata mikopo katika taasisi za kibenki. Akizungumza na waandishi...
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Filamu kupinga mauaji ya albino kuandaliwa
NA JOHN MADUHU, MWANZA
WAIGIZAJI wa filamu nchini, wanatarajia kuungana katika filamu moja itakayokuwa ikipinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’, alizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, wakati wa kongamano la amani lililoandaliwa na maaskofu na masheikh wa Mkoa wa Mwanza.
JB ambaye alikuwa ameongozana na wasanii wengine kama Mzee Majuto na Mrisho Mpoto, alisema mchakato wa kuandaa filamu hiyo umeanza.
“Tumeguswa na mauaji ya walemavu wa ngozi,...
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Albamu mpya ya Barnaba kuandaliwa miezi mitatu
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Barnaba Elias ‘Barnaba Classic’, amesema atatumia muda wa miezi mitatu kundaa albamu yake mpya.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Barnaba alisema matarajio yake ni kuingiza sokoni albamu hiyo kabla ya kumalizika kwa mwaka huu.
“Unajua tangu nilipoachia ile albamu ya kwanza imepita miaka miwili, nadhani ni muda mwafaka wa kuandaa kitu kingine kwa mashabiki zangu,” alisema Barnaba.
Barnaba alisema shuguli ya kuandaa albamu...
11 years ago
MichuziVIJANA KUANDALIWA KUWA CHACHU YA MAENDELEO YA JAMII