Wastaafu watakiwa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu
![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Katibu wa Jumuiya ya Wafanyakazi wastaafu Pemba Bwana Majid Moh’d akimkabidhi risala Mkamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwenye hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya hiyo hapo ukumbi wa Tasaf Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Chake chake Pemba.
Baadhi ya Wajumbne wa Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya ya Wafanyakazi Wastaafu Pemba akifutilia Hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani wakati akiizindua rasmi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s72-c/4.jpg)
ALBINO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA JESHI LA POLISI ILI KUIMARISHA USALAMA WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s1600/4.jpg)
Pamoja na kwamba haijawahi kutoa tukio lolote dhidi ya Albino jijini Dar es Salaam kutokana na uhusiano uliopo lakini kwa sasa waongeze mawasiliano na Jeshi la Polisi kutokana na taarifa za uhalifu dhidi ya Albino...
9 years ago
StarTV23 Nov
Walimu watakiwa kutumia fursa zao katika Utatuzi Changamoto Za Elimu
Walimu nchini wametakiwa watumie fursa walizonazo kutatua changamoto za elimu kwa kuwa taifa linawategemea kupata wataalam.
Katika mahafali ya chuo kikuu cha DUCE imeelezwa kuwa Serikali inajitahidi kusomesha walimu kwa kutumia kodi za wananchi lengo likiwa ni kuongeza fursa za ajira ya walimu kutokana na uhaba wa walimu hasa katika masomo ya Sayansi.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo Prof. Martha Mlau amewtakaa wahitimu kutumia taaluma waliyoipata chuoni hapo, kwa kuwa taifa...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watumishi wa kada za afya nchini watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili na viapo vya taaluma zao
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,...
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Wanasayansi watakiwa kutumia ujuzi kibiashara
9 years ago
StarTV15 Nov
Wataalamu wa afya wahimizwa kutumia taaluma zao kwakufanya tafiti
Wataalamu wa Sekta ya afya nchini wanapaswa kutumia taaluma yao kutafiti na kugundua visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii hali itakayosaidia Serikali kukabiliana na magonjwa husika.
Tafiti zinaonyesha kuwa magonjwa mengi yamekuwa yakiikumba jamii kutokana na kukosekana kwa watalaamu wa kubaini visababishi vya maradhi hayo.
Mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Sayansi ya tiba cha KCMU College kilichopo mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro Prof.Elgibert Kessy anaona ipo haja kwa...
10 years ago
MichuziWarsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za kemikali zinazokaa kwa muda mrefu katika Mazingira
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ng_50n_Hyr8/XvJnh5nYqqI/AAAAAAALvHg/rgobkI1VYfgGguHLnf6ST7VqYHdrW5BjQCLcBGAsYHQ/s72-c/ee801213-129f-428b-b048-ffe7bf64823a.jpg)
VIJANA WATAKIWA KUTUMIA UJUZI WA MAFUNZO YA KILIMO CHA KISASA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ng_50n_Hyr8/XvJnh5nYqqI/AAAAAAALvHg/rgobkI1VYfgGguHLnf6ST7VqYHdrW5BjQCLcBGAsYHQ/s640/ee801213-129f-428b-b048-ffe7bf64823a.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akieleza jambo alipokuwa akikagua kitalu nyumba kilichopo Nangara, Mkoani Babati. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Manyara Bi. Elizabeth Kitundu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/fd86c11c-deec-4cfe-8c89-cdb007f7145f.jpg)
Baadhi ya vijana wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipowatembelea vijana hao kukagua maendeleo ya mafunzo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s72-c/IMG-20151130-WA0097.jpg)
MBUNGE COSATO CHUMI KUTATUA TATIZO LA MAJI KATIKA MJI WA MAFINGA LILOTUDUMI KWA MUDA MREFU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s640/IMG-20151130-WA0097.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y1JfwFEPMNo/Vlxok5wgHnI/AAAAAAAABCU/n06o5W2VAMo/s640/IMG-20151130-WA0099.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--VjRJuFq2v8/VlxowSV2wKI/AAAAAAAABC8/O0MUJ8yAoiA/s640/IMG-20151130-WA0105.jpg)
MBUNGE wa jimbo la mafinga mjini cosato chumi amefanya ziara ya kuangalia jinsi gani anaweza kutatua tatizo la...