ALBINO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA JESHI LA POLISI ILI KUIMARISHA USALAMA WAO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewashauri albino wanaoishi Jijini Dar es Salaam kuwa karibu sana na Jeshi hilo ili kurahisisha mawasiliano kati yao na Wakuu wa vituo vya Polisi vilivyo karibu na makazi yao au wanapofanyia usalama wao jijini Dar es Salaam.
Pamoja na kwamba haijawahi kutoa tukio lolote dhidi ya Albino jijini Dar es Salaam kutokana na uhusiano uliopo lakini kwa sasa waongeze mawasiliano na Jeshi la Polisi kutokana na taarifa za uhalifu dhidi ya Albino...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Aug
Kova: Albino wawe karibu na Jeshi la Polisi Dar
Kamishina wa Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetu
JESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, limewashauri albino waishio jijini Dar es salaam kuwa karibu na Jeshi hilo ili kurahisisha mawasiliano kati yao na wakuu wa vituo vya Polisi vilivyo karibu na makazi yao.
Hatua hiyo imekuja baada ya Albino hao kufika Ofisini kwa Kamanda Kova jana kuomba kibali cha kufanya maandamano kutokana na...
10 years ago
Michuzi
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.


KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Wastaafu watakiwa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
MichuziPolisi TPA watunukiwa kwa kuimarisha usalama bandarini
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Serikali imetoa sifa kwa kitengo cha usalama cha Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuimarisha ulinzi katika bandari na hivyo kuchangia kuifanya bandari hiyo kuongeza...
10 years ago
Michuzi
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA

10 years ago
MichuziNGO's YA APEC KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI DODOMA YAFUNGA MAFUZO KWA WAENDESHA PIKIPIKI (BODABODA) MKOANI HUMO
11 years ago
Michuzi
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA

11 years ago
Vijimambo
WANAFUNZI ALBINO WALIOPO BWENINI WAHOFIA USALAMA WAO
