WANAFUNZI ALBINO WALIOPO BWENINI WAHOFIA USALAMA WAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WkzTxNkRb-I/VDFx6FDmJgI/AAAAAAAAQcg/3ooCHi6hH1Q/s72-c/ALBINO%281%29.jpg)
Wanafunzi wa bweni ambao ni walemavu wa ngozi na wasioona wanaohifadhiwa na serikali katika shule ya msingi pongwe jijini tanga wameiomba Serikali kwa kushirikiana na wasamaria wema kuwajengea uzio shuleni hapo kufuatia kutembea umbali wa mita 100 wakati wanapokwenda kujisaida nyakati za usiku hatua ambayo inahatarisha usalama wao.Wakizungumza shuleni hapo wakati wasamaria wema walipokwenda kuwasaidia wanafunzi walemavu wa ngozi na vipofu vifaa mbali mbali ikiwemo vya kusaidia walemavu wenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s72-c/4.jpg)
ALBINO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA JESHI LA POLISI ILI KUIMARISHA USALAMA WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s1600/4.jpg)
Pamoja na kwamba haijawahi kutoa tukio lolote dhidi ya Albino jijini Dar es Salaam kutokana na uhusiano uliopo lakini kwa sasa waongeze mawasiliano na Jeshi la Polisi kutokana na taarifa za uhalifu dhidi ya Albino...
9 years ago
Habarileo06 Oct
ACT Wazalendo wahofia usalama wa Slaa
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimefuta mikutano yote ambayo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alikuwa aifanye kuanzia kesho kupitia jukwaa la chama hicho.
9 years ago
StarTV19 Sep
 NCCR — Mageuzi wahofia viongozi wao kudhuriwa
Chama cha NCCR-Mageuzi kimedai kugundua mbinu chafu zinazopangwa na kikundi kinachotajwa kutaka kuwadhuru viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, hususan Mwenyekitu wa chama hicho, James Mbatia.
Aidha, chama hicho kimesema hakitajiengua kwenye Umoja huo kama inavyoelezwa na baadhi ya wanachama wake kwa madai ya Umoja kushindwa kufikia baadhi ya makubaliano, hususan ya mgao wa majimbo. Walipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, NCCR- Mageuzi...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Coronavirus: Kenya yabadili msimamo wake wa kuwarudisha nyumbani wanafunzi waliopo Wuhan China
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Wanafunzi wamkata panga mwalimu wao
10 years ago
Habarileo27 May
‘Wanaojihusisha kimapenzi na wanafunzi wao wabanwe’
BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Watoto wametaka ziwekwe sheria kali kuwawajibisha walimu ambao wanajihusisha kimapenzi na wanafunzi wao.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Serikali yaonya wanaonyanyasa wanafunzi albino
SERIKALI imetoa wito kwa walimu na wadau wote wa elimu kwamba ni marufuku kuwanyanyasa watoto wenye ulemavu, hasa wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanapokuwa shuleni. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wanafunzi 826 na walimu wao wakimbia vita Kiteto
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3E588TCfOCs/U14UOaZAhdI/AAAAAAAFdpw/eIwrTJFKTK8/s72-c/003.jpg)
Wanafunzi wapatiwa mafunzo ya usalama na Afya mahala pa kazi na barabarani
![](http://2.bp.blogspot.com/-3E588TCfOCs/U14UOaZAhdI/AAAAAAAFdpw/eIwrTJFKTK8/s1600/003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvrEpFZ4H3Y/U14UPotl9bI/AAAAAAAFdqA/8pSFTRfh1M0/s1600/004.jpg)