ACT Wazalendo wahofia usalama wa Slaa
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimefuta mikutano yote ambayo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alikuwa aifanye kuanzia kesho kupitia jukwaa la chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WkzTxNkRb-I/VDFx6FDmJgI/AAAAAAAAQcg/3ooCHi6hH1Q/s72-c/ALBINO%281%29.jpg)
WANAFUNZI ALBINO WALIOPO BWENINI WAHOFIA USALAMA WAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WkzTxNkRb-I/VDFx6FDmJgI/AAAAAAAAQcg/3ooCHi6hH1Q/s640/ALBINO%281%29.jpg)
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania, Lucas Kadawi Limbu.  Mwenyekiti wa ACT-Tanzania, Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says
Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema suala la Muungano linataka maridhiano na siyo masharti ya kutoka upande wowote unaouunda.
9 years ago
TheCitizen19 Aug
ACT-Wazalendo yet to get Ikulu candidate
The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) is holding internal meetings to appoint the party’s presidential flag-bearer for the October 25 General Election.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
ACT Wazalendo kuimarisha kilimo
Mgombea urais kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira amesema umaskini wa Mtanzania hauwezi kuondolewa kwa maneno, bali ni katika kutekeleza shughuli za kilimo.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
Chama cha ACT-Wazalendo juzi kimehitimisha siku 10 za awamu ya kwanza kwa kutembelea mikoa minane ya Tanzania Bara, huku wakisisitiza kaulimbiu yao ya utu, uzalendo na uadilifu.
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Urais ACT — Wazalendo sarakasi tupu
Sintofahamu imetanda ndani ya Chama cha ACT – Wazalendo juu ya hatima ya mgombea wa urais baada ya mgombea aliyependekezwa na kuchukuliwa fomu ya kuomba uteuzi, Profesa Kitila Mkumbo kuikataa nafasi hiyo.
10 years ago
Mwananchi14 May
ACT-Wazalendo waomba kujiunga Ukawa
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Anna Mgwira amesema chama hicho hakina matatizo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na hata sasa kinasubiri majibu ya barua yao waliyoituma kwa umoja huo kuomba kuunganishwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania