Wanafunzi 826 na walimu wao wakimbia vita Kiteto
Siku kadhaa zimepita tangu kutokea kwa mapigano mapya kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s72-c/IMG-20150816-WA0034.jpg)
VIJANA HAWA WALIMU WANATAFUTWA NA WANAFUNZI WAO BAADA YA KUINGIA MITINI NA PESA ZA FIELD
![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s640/IMG-20150816-WA0034.jpg)
Mfano miongon mwa benki zinazodhamini ni World Bank ambapo huwa wanawalipa watu kiasi cha Sh. 25,000/= kwa Mkoa wa Dar es Salaam, na iwapo watasafiri mikoani vijini watalipwa kiasi cha Sh....
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Mamia wakimbia vita Bor
Wakaazi wa mji wa Bor nchini Sudan Kusini wanaendelea kuukimbia mji huo wakihofia maisha yao.
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Maelfu wakimbia vita Sudan Kusini
Takriban Watu 1,000 wameuawa katika mapigano nchini humo na takriban wengine 200,000 wakikimbia mapigano kati ya Jamii ya Dinka na Nuer.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanafunzi 150 Serengeti wakimbia kukeketwa
“Nalazimishwa kukeketwa ili niolewe, maana kwa mila na desturi za Kimasai mtoto wa kike anapozaliwa hupata mchumba. Pamoja na umri wangu mdogo hivi, licha ya kuwa nasoma, nani wa kutuokoa.â€
10 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s72-c/1.jpg)
Walimu Watatu Wamchapa Mwanafunzi wa Kidato cha Pili viboko Hadi Kufariki kwa Kufeli Mtihani wa Kiswahili huko KITETO
![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF2OSlTY-J2VvXndKU20E*xh8HMounyzkqg5BexEWge3LhYqs6r0-owQ2*6fV4s4-g0rIb1iyARTf3PG2vDoceGZ/Untitled1.jpg)
OMMY DIMPOZ, IDRIS WAWALIZA WALIMU WAO
Stori: Musa Mateja/Risasi Mchanganyiko
MSANII nyota wa Bongo Fleva Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz,’ na mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, Idris Sultan, juzikati waliwaliza machozi ya furaha walimu wao wa shule ya Mbezi High School iliyopo Kimara walikosoma, baada ya kufika ghafla kwa ajili ya kuwasalimia. MSANII nyota wa Bongo Fleva Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz,’ na mshindi wa shindano la Big...
10 years ago
Habarileo22 Jun
Vita Sudan Kusini yazuia ajira kwa walimu nchini
SERIKALI imesema haiwezi kupeleka walimu nchini Sudan Kusini licha ya kuwa na soko kubwa la walimu kutokana na hali tete ya usalama nchini humo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s72-c/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
WALIMU NA WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI .
![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s640/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
Na Mohab Matukio SHULE ya msingi Izuga Kata ya ( Isaka Jana) katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani Shinyanga haina vyoo vya walimu na wanafunzi hali ambayo walimu pamoja na wanafunzi inasababisha kujisaidia vichakani kwazamu.
Hayo yalibainika katika risala iliyosomwa na afisa mtendaji wa Kijiji hicho Reuben Macheyeki mbele ya mbunge wa jimbo la Msalala Ezekiel Maige ilisema kwamba shule hiyo tangu ijengwe mwaka 2009 haijawahi kuwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania