Wanafunzi 150 Serengeti wakimbia kukeketwa
“Nalazimishwa kukeketwa ili niolewe, maana kwa mila na desturi za Kimasai mtoto wa kike anapozaliwa hupata mchumba. Pamoja na umri wangu mdogo hivi, licha ya kuwa nasoma, nani wa kutuokoa.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Dec
2,000 wakimbia kukeketwa Tarime
11 years ago
Habarileo22 Dec
Mabinti 406 wakimbia kwao wakikwepa kukeketwa
WATOTO wa kike 406 wakiwemo wanafunzi kutoka shule za msingi na sekondari wilayani Tarime mkoani Mara, wamekimbia makwao na kwenda kuhifadhiwa katika kambi ya Kanisa Katoliki Masanga.
10 years ago
Vijimambo17 Mar
2,000 wakimbia kwao kwa hofu ya kukeketwa Tarime.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CDF-17March2015.jpg)
Wasichana 2,003 wamezokimbia familia zao na kwenda kuishi katika kituo cha Masanga Wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa hofu ya kukeketwa na wazazi wao.
Hayo yalibainishwa na Mlezi wa kituo hicho, Germaine Baibika, wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa kupinga ukeketaji ulioandaliwa na Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) uliowashirikisha wadau wa kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni.
Baibika alisema takwimu hizo ni tangu mwaka 2008 na idadi hiyo ni tangu walipoanza kupokea wasichana...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wanafunzi 826 na walimu wao wakimbia vita Kiteto
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wanafunzi 150 Duce wapata mimba — Utafiti
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Bango Sangho yawezesha wanafunzi 150 Shule ya msingi Kibugumo kuketi
Balozi wa India nchini, Mh. Debnath Shaw akisalimiana na Daktari bingwa wa Afya ya jamii na familia, Dkt. Ali Mzige kwenye hafla fupi ya kukabidhi madawati 50 pamoja majengo mawili ya shule ya msingi Kibugumo yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO. Katikati ni Mbunge wa Kigamboni Dk Faustine Ndungulile. (Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI 150 waliokuwa katika dhiki ya elimu shule ya msingi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0003.jpg)
BANGO SANGHO YAWEZESHA WANAFUNZI 150 SHULE YA MSINGI KIBUGUMO KUKETI
9 years ago
Mwananchi30 Dec
19 waliokimbia kukeketwa hawajapokelewa na wazazi
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.