Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi 150 Serengeti wakimbia kukeketwa

“Nalazimishwa kukeketwa ili niolewe, maana kwa mila na desturi za Kimasai mtoto wa kike anapozaliwa hupata mchumba. Pamoja na umri wangu mdogo hivi, licha ya kuwa nasoma, nani wa kutuokoa.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

2,000 wakimbia kukeketwa Tarime

Wasichana 2,118 wamekimbilia kwenye Kituo cha Kupinga Ukatili wa Kijinsia cha Masanga kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Mara wilayani Tarime ili kuepuka kukeketwa na wazazi wao.

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti 406 wakimbia kwao wakikwepa kukeketwa

WATOTO wa kike 406 wakiwemo wanafunzi kutoka shule za msingi na sekondari wilayani Tarime mkoani Mara, wamekimbia makwao na kwenda kuhifadhiwa katika kambi ya Kanisa Katoliki Masanga.

 

10 years ago

Vijimambo

2,000 wakimbia kwao kwa hofu ya kukeketwa Tarime.



Wasichana 2,003 wamezokimbia familia zao na kwenda kuishi katika kituo cha Masanga Wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa hofu ya kukeketwa na wazazi wao.

Hayo yalibainishwa na Mlezi wa kituo hicho, Germaine Baibika, wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa kupinga ukeketaji ulioandaliwa na Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) uliowashirikisha wadau wa kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni.

Baibika alisema takwimu hizo ni tangu mwaka 2008 na idadi hiyo ni tangu walipoanza kupokea wasichana...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 826 na walimu wao wakimbia vita Kiteto

Siku kadhaa zimepita tangu kutokea kwa mapigano mapya kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 150 Duce wapata mimba — Utafiti

Wanafunzi 150 kati ya 1,000 waliojiunga na masomo katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (Duce) mwaka jana wamebainika kuwa na ujauzito waliopewa na wenzao chuoni hapo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Bango Sangho yawezesha wanafunzi 150 Shule ya msingi Kibugumo kuketi

DSC_0003

Balozi wa India nchini, Mh. Debnath Shaw akisalimiana na Daktari bingwa wa Afya ya jamii na familia, Dkt. Ali Mzige kwenye hafla fupi ya kukabidhi madawati 50 pamoja majengo mawili ya shule ya msingi Kibugumo yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO. Katikati ni Mbunge wa Kigamboni Dk Faustine Ndungulile. (Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI 150 waliokuwa katika dhiki ya elimu shule ya msingi...

 

10 years ago

GPL

BANGO SANGHO YAWEZESHA WANAFUNZI 150 SHULE YA MSINGI KIBUGUMO KUKETI‏

Balozi wa India nchini, Mh. Debnath Shaw akisalimiana na Daktari bingwa wa Afya ya jamii na familia, Dkt. Ali Mzige kwenye hafla fupi ya kukabidhi madawati 50 pamoja majengo mawili ya shule ya msingi Kibugumo yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO. Katikati ni Mbunge wa Kigamboni Dk Faustine Ndungulile. Balozi wa India… ...

 

9 years ago

Mwananchi

19 waliokimbia kukeketwa hawajapokelewa na wazazi

Wasichana 19 kati ya 117 waliokimbia kukeketwa katika Wilaya za Ngorongoro mkoani Arusha na Tarime mkoani Mara, hawajapokelewa na wazazi wao na kuhifadhiwa Kituo cha Nyumba Salama kilichopo wilayani hapa.

 

11 years ago

BBCSwahili

ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.

wapiganaji wa ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani