ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.
wapiganaji wa ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM24 Jul
ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.
Umoja wa Mataifa umeelezea ghadhabu kutokana na Fatwa iliyotolewa na Kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa ISIS ya kuwataka wanawake wote waliozidi umri wa miaka 11 kukeketwa.
Afisa wa shirika la umoja wa mataifa nchini Iraq ,Jacqueline Badcock ameonya kuwa agizo hilo la kidini ama Fatwa itawaathiri zaidi ya wanawake milioni nne kati ya umri wa miaka 11-46.
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.
Bi Badcock alisema kuwa utamaduni huo ni jambo geni sana nchini Iraq na...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani
Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda
NA MWANDISHI WETU, SEOUL
MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.
Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Ujumbe Huu wa Wema Uwafikie Wanawake Wote
“Kelele kelele kama kengele za nini? The only business worth minding is your own. Mwanamke fanya yako kwa maendeleo yako”.-Wema Sepetu
Ameandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
11 years ago
MichuziWANAWAKE WOTE DUNIANI TUNALILIA AMANI - MAMA PINDA
Ametoa wito huo leo mchana (Jumapili, Agosti 10, 2014) wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu (keynote speaker) kwenye Mkutano wa Dunia wa siku tano ulioanza leo jijini Seoul, Korea Kusini.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye...
5 years ago
MichuziMTANDAO WA WANAWAKE LAKIMOJA WATOA PONGEZI KWA WAMAMA WOTE
MTANDAO wa Wanawake Laki Moja (100,000 WOMEN) wenye lengo la kuunganisha na Wanawake, kupambana na Ukatili wa Kijinsia na Umasikini hapa nchini umetoa pongezi kwa akina Mama wote walio mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona.
Pongezi hizo zimetolewa leo ambayo ni siku ya Kina Mama (Mother's Day ) ambapo wamekuwa mstari wa mbele katika mapambano.
"WanawakeLakiMoja tunawapongeza kina Mama wote wa Tanzania na duniani kwa ujumla.Kazi kubwa wanazozifanya za...
10 years ago
Michuzi9 years ago
Mwananchi27 Dec
2,000 wakimbia kukeketwa Tarime
9 years ago
Mwananchi30 Dec
19 waliokimbia kukeketwa hawajapokelewa na wazazi